Asumpta Mshana kumshtaki Edward Lowassa!

Asumpta Mshana kumshtaki Edward Lowassa!

BEHOLD

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
5,056
Reaction score
10,729
Vioja vinaendelea,

Katika kipindi cha kutoka magezitini cha RFA, Imesomwa toka gazeti la UHURU kuwa Mbunge huyu Mstaafu anajiandaa kwenda mahakamani kumshtaki Lowassa ili aeleze BALALI alipo!!
 
ivi marehemu Balali yupo ?
we Tanzanians miss him
lol
 
haahaha aliposhinda kwenye maoni ya katiba anajipa moyo tena kuwa atashinda na hii?
 
Huyu mama anaweweseka mchana baada kukosa nafasi kugombea ubunge! Escrow wamegawana yeye akiishia kutetea ule wizi, Leo imemkosesha ubunge! Lazima alie na JK! Njaa weee akumbukwe kwenye DC
 
Huyu mama anaweweseka mchana baada kukosa nafasi kugombea ubunge! Escrow wamegawana yeye akiishia kutetea ule wizi, Leo imemkosesha ubunge! Lazima alie na JK! Njaa weee akumbukwe kwenye DC

Jk hawezi kutoa Udc kwa sasa labda huyo Mshama asubiri Lowasa anaweza kumfikiria akampa utendaji wa Kijiji maana Lowasa ameishasema hatalipiza kisasi
 
huyu mama naona hata uchungaji amesha uacha na jinsi anavyofanya majukwaani sijui anawambia nini waumini wake!

Maana Neno la Mungu linasema -USIHUKUMU USIJE UKAHUKUMIWA -

ajitafakari sana na huduma anayotoa kwa kondoo za Bwana. Mwisho wa siku ajue kuna maisha nje ya siasa.
 
Takataka Gani Huyo? WATANZANIA WALISHAKATA SHAURI RAIS WAO SI MWINGINE NI EDWARD NGOYAI LOWASA.
 
Aende tu Peter Kibatara, Tindu Lissu watafanya kazi
 
Sio mbaya muache aendelee kupoteza muda wakati Muheshimiwa lowassa anaendelea kuchanja mbuga
 
huyu mama naona hata uchungaji amesha uacha na jinsi anavyofanya majukwaani sijui anawambia nini waumini wake!

Maana Neno la Mungu linasema -USIHUKUMU USIJE UKAHUKUMIWA -

ajitafakari sana na huduma anayotoa kwa kondoo za Bwana. Mwisho wa siku ajue kuna maisha nje ya siasa.

Ni mchungaji wa kanisa gani???
 
Back
Top Bottom