http://www.youtube.com/watch?v=0zqKMYjI-XI&feature=player_embedded
Hii ndio kazi ya viongozi wetu, kuuza bangi na madawa. Habari ndio hiyo.
Mkuu Maxshimba,
Hapa nadhani umezidi mpaka maana there is no where in that
clip wanamtaja Waziri Mkuu wa Kenya kuhusika na hii kitu.
If anything hilo gari ni la Wizara ya Fedha na the Minister in charge
of that Ministry is non other than Uhuru Kenyatta.
Tujaribu kua waangalifu on such matters ama tutaonekana kama
Ze utamu hapa JF.
Regards.
Mkuu ni Naibu Waziri Odinga ndugu ya Waziri Mkuu Odinga.
Maxshimba,
Nimekupata bro lakini kumbuka ni 'gari la wizara yake' and it
could be the drivers doing it on their own...or it could be
Uhuru Kenyatta aliyewatuma maana anajulikana wazi kama
mchomaji.
So the thing is still up in the air and I just want to give everybody
the benefit of the doubt.Kuna sehemu humu ndani baada ya kama
1;20 minutes hivi wanasmea bangi inatoka Tanzania.
The Pandora box is still open na nadhani unanipata.
Tuko pamoja.