Assist Please!!! Posta wizi balaa... imekuwa too much!

Assist Please!!! Posta wizi balaa... imekuwa too much!

neemsy

Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
40
Reaction score
11
Kwa sasa hii ni mara ya tatu ya mzigo wangu kutoka nje kupotea posta kwa hali tatanishi.

Nilianza kutumia posta miaka kama minne iliyopita na mizigo haikuwahi kupotea. Ila kama miezi minane iliyopita kuna mambo very strange happening.

Niliwahi kusikia watu kupoteza mizigo ambayo haina tracking number, ila hii style mpya wanaiba pia mizigo yenye tracking number. Nimeshapoteza mmoja toka UK na miwili toka USA.

Ukifuata tracking number unaona jinsa ilivyopita kule kwa wenzetu hadi ikatoka nchini hata post office and date stamp you can see clearly. But once out of those countries the package disappears.

Kufuatilia customer service ni upotevu mkubwa wa muda.Utatumwa kwenye kila idara zote chini ya jua. mara nenda huku... nenda kule... nenda pale. Na hata siku moja hawakuruhusihi kuongea na wakubwa husika.

I hope kuna mtu atakayeweza kunisaidia na channel nitakayoweza kupitia ili haya maswala yaangaliwe kwa ndani.

This has become too much. Kama ni hivi ndo wonder watu wanakimbilia mashirika ya kigeni kama DHL na UPS. Mimi hujaribu sana kutumia indigenous goods and services lakini hii inakatisha tamaa!

Wadau, PLEASE ASSIST!
 
Kwa sasa hii ni mara ya tatu ya mzigo wangu kutoka nje kupotea posta kwa hali tatanishi. Nilianza kutumia posta miaka kama minne iliyopita na mizigo haikuwahi kupotea. Ila kama miezi minane iliyopita kuna mambo very strange happening. Niliwahi kusikia watu kupoteza mizigo ambayo haina tracking number, ila hii style mpya wanaiba pia mizigo yenye tracking number. Nimeshapoteza mmoja toka UK na miwili toka USA. Ukifuata tracking number unaona jinsa ilivyopita kule kwa wenzetu hadi ikatoka nchini hata post office and date stamp you can see clearly. But once out of those countries the package disappears.

Kufuatilia customer service ni upotevu mkubwa wa muda.Utatumwa kwenye kila idara zote chini ya jua. mara nenda huku... nenda kule... nenda pale. Na hata siku moja hawakuruhusihi kuongea na wakubwa husika!
I hope kuna mtu atakayeweza kunisaidia na channel nitakayoweza kupitia ili haya maswala yaangaliwe kwa ndani. This has become too much. Kama ni hivi ndo wonder watu wanakimbilia mashirika ya kigeni kama DHL na UPS. Mimi hujaribu sana kutumia indigenous goods and services lakini hii inakatisha tamaa!

Wadau, PLEASE ASSIST!

Uzalendo utakugharimu Mkuu, ACHA KABISA KUTUMIA HUDUMA ZA POSTA TANZANIA, ACHA! MAJAMBAZI YAMEJAA KULE! Tumia DHL.
 
Watakucheka watu, wenzio wanatumia huduma za DHL, umeshindwa hata kuuliza wadau kabla! Anyway pole mkuu lakini huko ndiko kujifunza.

Amka jipanguse songa mbele, lakini kwanza fuatilia kwenye vyombo vya kutoa haki ili stahilii yako ipatikane.
 
pole sana hamia ARAMEX wapo opposite shoprite ya kamata mimi DHL naona kama cost zao ni kubwa kidogo
Kwa sasa hii ni mara ya tatu ya mzigo wangu kutoka nje kupotea posta kwa hali tatanishi. Nilianza kutumia posta miaka kama minne iliyopita na mizigo haikuwahi kupotea. Ila kama miezi minane iliyopita kuna mambo very strange happening. Niliwahi kusikia watu kupoteza mizigo ambayo haina tracking number, ila hii style mpya wanaiba pia mizigo yenye tracking number. Nimeshapoteza mmoja toka UK na miwili toka USA. Ukifuata tracking number unaona jinsa ilivyopita kule kwa wenzetu hadi ikatoka nchini hata post office and date stamp you can see clearly. But once out of those countries the package disappears.

Kufuatilia customer service ni upotevu mkubwa wa muda.Utatumwa kwenye kila idara zote chini ya jua. mara nenda huku... nenda kule... nenda pale. Na hata siku moja hawakuruhusihi kuongea na wakubwa husika!
I hope kuna mtu atakayeweza kunisaidia na channel nitakayoweza kupitia ili haya maswala yaangaliwe kwa ndani. This has become too much. Kama ni hivi ndo wonder watu wanakimbilia mashirika ya kigeni kama DHL na UPS. Mimi hujaribu sana kutumia indigenous goods and services lakini hii inakatisha tamaa!

Wadau, PLEASE ASSIST!
 
Get a life! Almost every word has an acronym that could point to other view points. What matters is what your understanding of it is. so YOU BE CAREFUL and got over the conspiracy theories!
 
Ndio kufanya kazi kimazoea na ukijua unalindwa.

We hama tu, stahili itachelewa sana kupatikana.
 
Wabongo bwana yeye kaomba msaada nini afanye kwa sasa, naona longo longo nyiiingi.

Kwanza chukua vielelezo vyako nenda manager customer care Makao makuu.
Muelezee usumbufu ulikwisha pata.
Pakikuzingua taratibu mwambie ukuelekeze kwa mti mwingine ambaye ni senior kwakwe
ikishindikana nenda kwa secretary wa mkurugenzi mkuu, mweleze hatua zote ulizopitia.

Mimi nina historia TANESCO Baada ya kunizungusha walikiona na sikuwa namfahamu mtu yeyote.

MZIGO NI HAKI YAKO NA UMELIPIA HUDUMA YAO NI LAZIMA WAKUPE AMA WAKULIPE KAMA UMEPOTEA
 
Wabongo bwana yeye kaomba msaada nini afanye kwa sasa, naona longo longo nyiiingi.

Kwanza chukua vielelezo vyako nenda manager customer care Makao makuu.
Muelezee usumbufu ulikwisha pata.
Pakikuzingua taratibu mwambie ukuelekeze kwa mti mwingine ambaye ni senior kwakwe
ikishindikana nenda kwa secretary wa mkurugenzi mkuu, mweleze hatua zote ulizopitia.

Mimi nina historia TANESCO Baada ya kunizungusha walikiona na sikuwa namfahamu mtu yeyote.

MZIGO NI HAKI YAKO NA UMELIPIA HUDUMA YAO NI LAZIMA WAKUPE AMA WAKULIPE KAMA UMEPOTEA
Ni kweli mtu kaomba msaada wanamkejeri kama hawawezi kumsaidia bora wanyamaze tatizo kubwa ni sisi wenyewe tunaona uvivu kufatilia hadi mwisho njia nyingine ni kuripoti kwenye vyombo vya habari hakuna mtu anayependa kuchafuliwa jina lake
 
hii ya Vyombo vya habari huwa naiita last option. Baada ya kuonana na wakuu wakishindwa ndio uende kwenye vyombo vya habari kwa lengo la kuuambia umma watu wameshindwa kazi na na shirika haliaminiki tena.

regards

Ni kweli mtu kaomba msaada wanamkejeri kama hawawezi kumsaidia bora wanyamaze tatizo kubwa ni sisi wenyewe tunaona uvivu kufatilia hadi mwisho njia nyingine ni kuripoti kwenye vyombo vya habari hakuna mtu anayependa kuchafuliwa jina lake
 
Mkuu hapo NOKIA hem say it loudly sijasikia vizuri.


Mkuu nimeshasikia mitaani watu wanasema hivyo eti!Wanadai KIA maana yake Mungu sijui kwa lugha gani ya huko Asia ya mashariki. Yaani sasa hivi kila kitu ni Lucifer/Freemason tu kwa kila kitu.
 
hii ya Vyombo vya habari huwa naiita last option. Baada ya kuonana na wakuu wakishindwa ndio uende kwenye vyombo vya habari kwa lengo la kuuambia umma watu wameshindwa kazi na na shirika haliaminiki tena.

regards
Ni kweli vyombo vya habari ni last option
 
Kwa sasa hii ni mara ya tatu ya mzigo wangu kutoka nje kupotea posta kwa hali tatanishi. Nilianza kutumia posta miaka kama minne iliyopita na mizigo haikuwahi kupotea. Ila kama miezi minane iliyopita kuna mambo very strange happening. Niliwahi kusikia watu kupoteza mizigo ambayo haina tracking number, ila hii style mpya wanaiba pia mizigo yenye tracking number. Nimeshapoteza mmoja toka UK na miwili toka USA. Ukifuata tracking number unaona jinsa ilivyopita kule kwa wenzetu hadi ikatoka nchini hata post office and date stamp you can see clearly. But once out of those countries the package disappears.

Kufuatilia customer service ni upotevu mkubwa wa muda.Utatumwa kwenye kila idara zote chini ya jua. mara nenda huku... nenda kule... nenda pale. Na hata siku moja hawakuruhusihi kuongea na wakubwa husika!
I hope kuna mtu atakayeweza kunisaidia na channel nitakayoweza kupitia ili haya maswala yaangaliwe kwa ndani. This has become too much. Kama ni hivi ndo wonder watu wanakimbilia mashirika ya kigeni kama DHL na UPS. Mimi hujaribu sana kutumia indigenous goods and services lakini hii inakatisha tamaa!

Wadau, PLEASE ASSIST!

Pole sana kwa mihangaiko yote hii.Nadhani kwa mizigo inayotoka Uingereza kuja Tanzania kwa wakati huu inashughulikiwa na kampuni binafsi iyayoitwa Priority Mail ambayo ofisi zake ziko uwanja wa ndege wa Mwl. JKNIA. Kwakuwa wewe ni mteja, unayo haki na wajibu wa kuhakikisha unapata haki yako.Huduma bora ni haki yako. Kwa ushauri wangu endelea kufuatilia katika ngazi za juu ikiwa ni pamoja na kuwaona mameneja wa ngazi za juu wa Posta hadi kwa mtendaji mkuu.Kumbuka uwe na particulars ikiwa ni pamoja na nambari za ufuatiliaji za mizigo yako ili uwarahisishie ufuatiliaji na nina imani watakusaidia.Kumbuka huitaji ruksa au kibali cha kuwaona hao viongozi bali ni utashi na ujasiri wako tu wa kufuatilia haki yako.Nina imani utaweza kupata mwanga au suluhisho la suala lako.
 
Hili halijawainitokea japo mimi ni mtumiaji wa posta kwa miaka nane sasa na kila wiki chache natuma mzigo tanzania..wakati wa kutuma kuna fomu ambayo unaandika vilivyomo ndani baada ya hapo mzigo utumwa na haufunguliwi mpaka utapofika kwenye posta ya mpokeaji..sijui wewe upo wapi lakini kwa dar es salaam utafuata posta mpya,pale mzigo ni lazima ufunguliwe ili tra wafanye mathamanisho ya ushuru..mtumaji pia awe mkweli anaweza kwa mfano kumwambia mpokeaji nimekutumia simu kumi kumbe katuma nane (ili nimeliona kuna bwana alitumiwa pesa ya kununua mzigo,akanunua pungufu na kusema ametuma idadi tofauti)kwa miaka hii yote niliyotumia posta nimegundua tatizo moja,hawana formular nzuri ya kutoza ushuru leo ukiagiza hiki ushuru ni tsh 50 kesho ukiagiza kilekile ushuru ni tsh 100 lakini tatizo hili si posta tu bandarini na airport tatizo la ushuru linafanana,kuna watu wamekushauri dhl si mbaya lakini cost yake ni kubwa sana,kutuma parcel kwa posta toka hapa dubai ni tsh 60,000/kwa kilo 20 lakini kilo 20 kwa dhl au ups ni zaidi ya laki 2..kuwa na uhakika wa vitu vilivyotumwa kisha fuatilia
 
Inawezekana anatangaza huduma za DHL na nyingine binafsi kwa sababu sijawahi kupotelewa na mizigo miaka kumi sasa naitumia posta.ELEZA VIZURI ULIMWONA NANI POSTA AKASHINDWA KUKUSAIDIA ILI USAIDIWE.FUATA TARATIBU VIZURI KWA WAHUSIKA NA VIELELEZO VYAKO HAKIKA POSTA WATAKUSAIDIA.ACHA KUCHAFUA JINA ZURI LA POSTA UTAPATA SHIDA KAMA WEWE SI MKWELI
 
Back
Top Bottom