DA bana! Solution to hangover is to stay drunk!
Ila hata ndizi mbivu naskia inakata hangover.
Yaks!
Napatia picha wakati kainamia toilet kurudisha change, some hair getting messy! Bora bhange aisee!
Galz of today drink like their fathers lakini, ndo mtindo.
marhaba mjukuu! mzima wewe??
Aisee ahsante kwa taarifa. Ila najiuliza nikiwa nshautwika mtungi wangu kisawasawa, huo mtindi utapitia mdomo upi? Khaa!Habari zenu woooote...........
Asprin, Kaizer na group yenu nimefundishwa dawa ya hang over jana toka maeneo fulani..........
Ukiamka nazo chukua Maziwa mtindi + Fresh Apple katakata ndani yake kunywa kwa pamoja unakuwa freeeshh huna haja ya supu
Muwe na siku njema (Mie nimejaribu leo nikawa bomba mbaya)
Hili ndilo neno la mungu wa pombe. Wanywaji wote semeni amina.Dawa ya moto ni moto! Ukiamka nalo unazimua nalo!!! Unapata nguvu mpya hari mpya na kasi mpya ya kufanya mambo yako!
Umesema vema mnywa fanta..... Ila kwa taarifa tu ndizi mbivu zinatoa miharufu ya pombe na siyo hangover. Na haifai kwa watu wepesi wa kutapikaDA bana! Solution to hangover is to stay drunk!
Ila hata ndizi mbivu naskia inakata hangover.
Aisee ahsante kwa taarifa. Ila najiuliza nikiwa nshautwika mtungi wangu kisawasawa, huo mtindi utapitia mdomo upi? Khaa!
Hili ndilo neno la mungu wa pombe. Wanywaji wote semeni amina.
Umesema vema mnywa fanta..... Ila kwa taarifa tu ndizi mbivu zinatoa miharufu ya pombe na siyo hangover. Na haifai kwa watu wepesi wa kutapika
Huo muda wa kuweka kwenye friji, bar zitakuwa zimefungwa au?Asprin hapo juu weka kwenye friji acha uvivu...........Habari yake lakini
Ninywe pombe nyumbani afu Kulthum atapata wapi hela ya kununulia andawea?Mama nanihiii akuwekeee eti baa zimefungwa..........uweke maziwa kwenye friji sio bia najua unataka ukamwone mwajuma na ashura kunywa pombe home wewe haipo
ndo tunatua toka holiday Mallorca...kwi kwi kwi
Yaks!
Napatia picha wakati kainamia toilet kurudisha change, some hair getting messy! Bora bhange aisee!
Galz of today drink like their fathers lakini, ndo mtindo.
Yaani unatambia makombo?
Wallah unatia huruma!
Kwani ina makombo???