CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,915
Asparagus ni aina ya Mboga vijiti ambazo sana huliwa na watu wa daraja la juu pekee.
Asparagus zinapendwa sana kwa sababu pia ni tiba ukiachana na kwamba ni mboga.
Kuna vatieties nyingi sana za asparagus ila zinazo letwaga Tanzania au zinaso limwa Tanzania sana ni hizi hapa;
Mary Washington
Jersey Giant F1
Jersey King F1
Maeneo zinapo weza limwa Asparhus ni maeneo kama Iringa, Mbeay,Arusha, labda na Jombe huko. Hiziboga unaweza kukutana nazo kwenye Super Market kubwa pekee yake.
Asparagus zinapendwa sana kwa sababu pia ni tiba ukiachana na kwamba ni mboga.
Kuna vatieties nyingi sana za asparagus ila zinazo letwaga Tanzania au zinaso limwa Tanzania sana ni hizi hapa;
Mary Washington
Jersey Giant F1
Jersey King F1
Maeneo zinapo weza limwa Asparhus ni maeneo kama Iringa, Mbeay,Arusha, labda na Jombe huko. Hiziboga unaweza kukutana nazo kwenye Super Market kubwa pekee yake.