Asparagus, hizi ni mboga za matajiri pekee

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,915
Asparagus ni aina ya Mboga vijiti ambazo sana huliwa na watu wa daraja la juu pekee.

Asparagus zinapendwa sana kwa sababu pia ni tiba ukiachana na kwamba ni mboga.

Kuna vatieties nyingi sana za asparagus ila zinazo letwaga Tanzania au zinaso limwa Tanzania sana ni hizi hapa;

Mary Washington

Jersey Giant F1

Jersey King F1

Maeneo zinapo weza limwa Asparhus ni maeneo kama Iringa, Mbeay,Arusha, labda na Jombe huko. Hiziboga unaweza kukutana nazo kwenye Super Market kubwa pekee yake.

FB_IMG_1702107938534.jpg
FB_IMG_1702107964190.jpg
 
Asante kwa Bandiko lenye Elimu ndani yake.

KUPITIA WEWE LEO TUMEJIFUNZA (ASANTE MKUU).

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Asparagus ni aina ya Mboga vijiti ambazo sana huliwa na watu wa daraja la juu pekee.

Asparagus zinapendwa sana kwa sababu pia ni tiba ukiachana na kwamba ni mboga.

Kuna vatieties nyingi sana za asparagus ila zinazo letwaga Tanzania au zinaso limwa Tanzania sana ni hizi hapa;

Mary Washington

Jersey Giant F1

Jersey King F1

Maeneo zinapo weza limwa Asparhus ni maeneo kama Iringa, Mbeay,Arusha, labda na Jombe huko. Hiziboga unaweza kukutana nazo kwenye Super Market kubwa pekee yake.

View attachment 2837346View attachment 2837353
Nafikiri leo ndiyo mara yangu ya kwanza kuziona! Bei yake ikoje mkuu?
 
Asparagus ni aina ya Mboga vijiti ambazo sana huliwa na watu wa daraja la juu pekee.

Asparagus zinapendwa sana kwa sababu pia ni tiba ukiachana na kwamba ni mboga.

Kuna vatieties nyingi sana za asparagus ila zinazo letwaga Tanzania au zinaso limwa Tanzania sana ni hizi hapa;

Mary Washington

Jersey Giant F1

Jersey King F1

Maeneo zinapo weza limwa Asparhus ni maeneo kama Iringa, Mbeay,Arusha, labda na Jombe huko. Hiziboga unaweza kukutana nazo kwenye Super Market kubwa pekee yake.

View attachment 2837346View attachment 2837353
Nilitafuta mbegu sijapata una connection ya mbegu zake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom