ASP, TANU,CCM Ni Vyama vya watu wa Pwani. Bara mlikaribishwa. Jifunzeni historia na Kuheshimu waanzilishi

busar

JF-Expert Member
Dec 22, 2011
1,068
1,061
Asalam,
Nimeona maongezi kadhaa kwenye media, mengine ya kupongeza, mengine ya kuponda, mengine yasiyoyojua historia, mengine matusi, mengine ya udini na ukabila.

Hayo yote ni kufuatia Mabadiliko na harakati za CCM kujitengeneza UPYA baada ya kupitia kipindi kigumu sana kati ya 2015 hadi 2021.

Mabadiliko ya Jana ya Mzee Abdrahaman ni ukamilifu tu wa kukirudisha Chama kwenye mikono salama, ya wanaojua kilikotoka, kiendako katika kuijenga Tanzania.

Mengi ya kihistoria yaliandikwa hapa na wengi, lakini nimtaje mmoja ambae kwa kweli amejitahidi sana kuiweka historia mahali pake. Huyu si mwingine bali ni Mzee wetu Mohamed Said.

Mwalimu Nyerere alikaribishwa kama wengine tu mlivyo karibishwa. Pwani ndio kitovu cha Siasa za nchi hii. Na nikiitaja pwani ni Tanga, Pwani, Dsm, lindi, Mtwara na Zanzibar.


Sasa basi malalamiko ya Wabara wengi yanakosa msingi wa kihistoria, kimantiki na yaliyojaa upotoshaji. Madhila mliyotufanyia hii miaka mi5 hayatatoka mioyoni mwetu. Hatuyasemi lakn tumejifunza.

Wazee wetu wa DSM walitukanwa na kijana wenu RC. Na kundi lake, walidhalilisha familia zetu, familia zilizowapokea, kuwalea na kuwatunza.

Kama hayo hayatoshi mkamtukana JK na Familia yake na kumtusi ya nguoni. Waliokijenga Chama wakawa wageni.

Natamani kuwaambia na nyie tafuteni chenu lakini nashindwa kusema hayo.

Karibuni tujenge nchi lakini wafunzeni wanenu kuheshimiana, Kuheshimu wazee, wazazi na waliowatangulia kwenye utumishi wa nchi hii.
 
CCM ni chama cha wote bila ya kujali, Dini, kabila, umri, jinsia wala eneo utokalo

Hata ukiangalia mgawanyo wa vyeo vya juu vya uongozi wamepata watu wa dini tofauti, Maeneo tofauti na jinsia Tofauti tofauti na nchi za wenzetu

Rais anatokea Znz ( Mashariki)
Makamu anatokea Kgm (Magharibi)

PM anatokea Lindi ( kusini)

Spika anatokea Mbeya ( Nyanda za juu kusini)

Mkuu wa Usalama wa Taifa …Knjaro ( Kaskazini)

Mkuu wa Majeshi ( Kanda ya Ziwa)
Mkuu wa jeshi la Polisi ( Kanda ya ziwa)

Mawaziri, Makatibu wametokea maeneo tofauti ya Nchi


Ccm ni mali ya wote ila ni kama koti utalivaa kwa muda tu na ukipumzishwa pumzika
 
Msoga kama Msoga, kweli kutesa kwa zamu.
Ila Muhutu Jiwe na timu yake hawakuwa na utu kabisa japo hili la 'Waswahili' kujiona ndiyo wamiliki wa nchi sikubaliani nalo.
 
CCM ni chama cha wote bila ya kujali, Dini, kabila, umri, jinsia wala eneo utokalo

Hata ukiangalia mgawanyo wa vyeo vya juu vya uongozi wamepata watu wa dini tofauti, Maeneo tofauti na jinsia Tofauti tofauti na nchi za wenzetu

Rais anatokea Znz ( Mashariki)
Makamu anatokea Kgm (Magharibi)

PM anatokea Lindi ( kusini)

Spika anatokea Mbeya ( Nyanda za juu kusini)

Mkuu wa Usalama wa Taifa …Knjaro ( Kaskazini)

Mkuu wa Majeshi ( Kanda ya Ziwa)
Mkuu wa jeshi la Polisi ( Kanda ya ziwa)

Mawaziri, Makatibu wametokea maeneo tofauti ya Nchi


Ccm ni mali ya wote ila ni kama koti utalivaa kwa muda tu na ukipumzishwa pumzika
Tofauti na Chadema viongozi wote Makao makuu ni Wanaume!
 
Tofauti na Chadema viongozi wote Makao makuu ni Wanaume!
Tuisome historia vizuri ili mbeleni tusiyumbe tena. Hatupendi kututukania wazee wetu. Kijanawenu alifika mbali. Hadi kutaka kupima nyeti zetu nyumba kwa nyumba
 
Asalam,
Nimeona maongezi kadhaa kwenye media, mengine ya kupongeza, mengine ya kuponda, mengine yasiyoyojua historia, mengine matusi, mengine ya udini na ukabila.

Hayo yote ni kufuatia Mabadiliko na harakati za CCM kujitengeneza UPYA baada ya kupitia kipindi kigumu sana kati ya 2015 hadi 2021.

Mabadiliko ya Jana ya Mzee Abdrahaman ni ukamilifu tu wa kukirudisha Chama kwenye mikono salama, ya wanaojua kilikotoka, kiendako katika kuijenga Tanzania.

Mengi ya kihistoria yaliandikwa hapa na wengi, lakini nimtaje mmoja ambae kwa kweli amejitahidi sana kuiweka historia mahali pake. Huyu si mwingine bali ni Mzee wetu Mohamed Said.

Mwalimu Nyerere alikaribishwa kama wengine tu mlivyo karibishwa. Pwani ndio kitovu cha Siasa za nchi hii. Na nikiitaja pwani ni Tanga, Pwani, Dsm, lindi, Mtwara na Zanzibar.


Sasa basi malalamiko ya Wabara wengi yanakosa msingi wa kihistoria, kimantiki na yaliyojaa upotoshaji. Madhila mliyotufanyia hii miaka mi5 hayatatoka mioyoni mwetu. Hatuyasemi lakn tumejifunza.

Wazee wetu wa DSM walitukanwa na kijana wenu RC. Na kundi lake, walidhalilisha familia zetu, familia zilizowapokea, kuwalea na kuwatunza.

Kama hayo hayatoshi mkamtukana JK na Familia yake na kumtusi ya nguoni. Waliokijenga Chama wakawa wageni.

Natamani kuwaambia na nyie tafuteni chenu lakini nashindwa kusema hayo.

Karibuni tujenge nchi lakini wafunzeni wanenu kuheshimiana, Kuheshimu wazee, wazazi na waliowatangulia kwenye utumishi wa nchi hii.
Kama chama chenu fukuzen wabara au tujitenge , tena ninyi Wapwan ndo mnaturudisha nyuma kimaendeleo Kwanza wavivu, pili mnataka kula vya bure wapuuzi ninyi , Nendeni huko na little chama lenu kila mpwani akikamata nchi inayumba Nendeni huko mahayawani nyie
 
Kama chama chenu fukuzen wabara au tujitenge , tena ninyi Wapwan ndo mnaturudisha nyuma kimaendeleo Kwanza wavivu, pili mnataka kula vya bure wapuuzi ninyi , Nendeni huko na little chama lenu kila mpwani akikamata nchi inayumba Nendeni huko mahayawani nyie
Umesema point sn kukuta Mkwere au Mzaramo tajiri/mfanyabiasha mkubwa siyo rahisi zaidi ya hawa matapeli wa kwenye siasa
 
Wazee a Pwani kina Dossa waliona Mwalimu pamoja na kuwa anatoka kanda ya ziwa ila anafaa kuiongoza TAA ...wakampa mikoba.

NI kweli CCM ni ya watu wa Pwani..
 
Kama chama chenu fukuzen wabara au tujitenge , tena ninyi Wapwan ndo mnaturudisha nyuma kimaendeleo Kwanza wavivu, pili mnataka kula vya bure wapuuzi ninyi , Nendeni huko na little chama lenu kila mpwani akikamata nchi inayumba Nendeni huko mahayawani nyie
Ungeweza kujenga hoja bila matusi. Kwanini unapingana na ukweli
 
  • Thanks
Reactions: Qwy
Asalam,
Nimeona maongezi kadhaa kwenye media, mengine ya kupongeza, mengine ya kuponda, mengine yasiyoyojua historia, mengine matusi, mengine ya udini na ukabila.

Hayo yote ni kufuatia Mabadiliko na harakati za CCM kujitengeneza UPYA baada ya kupitia kipindi kigumu sana kati ya 2015 hadi 2021.

Mabadiliko ya Jana ya Mzee Abdrahaman ni ukamilifu tu wa kukirudisha Chama kwenye mikono salama, ya wanaojua kilikotoka, kiendako katika kuijenga Tanzania.

Mengi ya kihistoria yaliandikwa hapa na wengi, lakini nimtaje mmoja ambae kwa kweli amejitahidi sana kuiweka historia mahali pake. Huyu si mwingine bali ni Mzee wetu Mohamed Said.

Mwalimu Nyerere alikaribishwa kama wengine tu mlivyo karibishwa. Pwani ndio kitovu cha Siasa za nchi hii. Na nikiitaja pwani ni Tanga, Pwani, Dsm, lindi, Mtwara na Zanzibar.


Sasa basi malalamiko ya Wabara wengi yanakosa msingi wa kihistoria, kimantiki na yaliyojaa upotoshaji. Madhila mliyotufanyia hii miaka mi5 hayatatoka mioyoni mwetu. Hatuyasemi lakn tumejifunza.

Wazee wetu wa DSM walitukanwa na kijana wenu RC. Na kundi lake, walidhalilisha familia zetu, familia zilizowapokea, kuwalea na kuwatunza.

Kama hayo hayatoshi mkamtukana JK na Familia yake na kumtusi ya nguoni. Waliokijenga Chama wakawa wageni.

Natamani kuwaambia na nyie tafuteni chenu lakini nashindwa kusema hayo.

Karibuni tujenge nchi lakini wafunzeni wanenu kuheshimiana, Kuheshimu wazee, wazazi na waliowatangulia kwenye utumishi wa nchi hii.
Tukiwa na Division five Kama nyie ,wa kutosha.Wanaoandika pumba za kutosha Kama hizi.Umeme itakuwa unakatika kila siku.Hivi kweli una akili kichwani umejaziwa matope na muumba?Hivi J.K Nyerere alikuwa anatoka mlandiz?Ngoja niishie hapo .
 
Hakumbuki vita ya wahehe na wajerumani.hana ufahamu wa vita vya majimaji.Ndiyo tatizo la kutokwenda shule.
 
Na ukisema wenyewe ni wa mikoa ya Pwani moja kwa moja hapo ni Muslim society.
inamaana chama kimerudi kwa wajukuu wa kina Ally sykes,mzee Said Chaurembo,Mwinyijuma Mwinyikambi,Dosa Aziz na wezee wengine wa pwani.
 
Back
Top Bottom