Kinachomwangusha dogo ni "mono-styler"....watu wanapenda ladha mpya na si ladha ileile kila siku inakinasha.....
ukiangalia/Ukisikiliza nyimbo za dogo kuanzia melody, Beats, Vocals na contents huwa vinafanana sana...dogo abadilike la sivyo Mbosso Atammaliza coz raia washaanza kumwelewa mbosso sasa!!