Barcelona763
Member
- Mar 9, 2018
- 26
- 21
Hivi huyo Mbuso huwa anaimbaga manini mpaka uanze kumuelewa?Kinachomwangusha dogo ni "mono-styler"....watu wanapenda ladha mpya na si ladha ileile kila siku inakinasha.....
ukiangalia/Ukisikiliza nyimbo za dogo kuanzia melody, Beats, Vocals na contents huwa vinafanana sana...dogo abadilike la sivyo Mbosso Atammaliza coz raia washaanza kumwelewa mbosso sasa!!
Wewe una chukiAslay amefanya vizuri mwaka huu ndio maana ukisikiliza muziki wake mzuri kwenye YouTube utanielewa. Aslay yupo na sauti nzuri ya kuimba kama ya king kiba. Ukilinganisha na wasanii wafutao
Jux
Harmonize
Baraka da prince,
RayVanny
timbulo
neddy music
abdu kiba
Anaimba Sindimba ya kule kijijini kwenu "Ngonja-Nanguruwe Wilayani Nanyumbu Nkoani Ntwara"!!!Hivi huyo Mbuso huwa anaimbaga manini mpaka uanze kumuelewa?
Kweli aisee nyimbo zake nyingi ni za kulialia tuu khaaa anakera sanaKinachomwangusha dogo ni "mono-styler"....watu wanapenda ladha mpya na si ladha ileile kila siku inakinasha.....
ukiangalia/Ukisikiliza nyimbo za dogo kuanzia melody, Beats, Vocals na contents huwa vinafanana sana...dogo abadilike la sivyo Mbosso Atammaliza coz raia washaanza kumwelewa mbosso sasa!!
Nakushukuru mkuu kwa kunifahamisha kama unatokea Mtwara, nitakuja huko kununua korosho na ntakupa kazi ya udalali na sio hii ya kuanza kumlinganisha msanii Aslay na hao wacheza sindimba wa huko kwenu Mtwara.Anaimba Sindimba ya kule kijijini kwenu "Ngonja-Nanguruwe Wilayani Nanyumbu Nkoani Ntwara"!!!
Upo kama Mimi tena za mbele napenda zile za kulia lia kama za Enrique inglesias, Mac Antony....Acha tu huyu dogo aslay jamani Mimi nna nyimbo zake tu kwenye system yangu ya mziki kwa hapa bongo...
Miziki mingi ya mambelee...na bongo zile za 2007 kurudi nyumaa!!!!
Upo correct mkuu..Rayvanny mashairi yake bado yakitoto toto sana utagundua hilo kama ukimfatilia vizuri