Askofu Wa Jimbo Katoliki La Mafinga Kuongea Na Vyombo Vya Habari Tarehe 30/09/2025, Kuhusu Padri Jordan Kibiki Aliyeshutumiwa Kujiteka

Askofu Wa Jimbo Katoliki La Mafinga Kuongea Na Vyombo Vya Habari Tarehe 30/09/2025, Kuhusu Padri Jordan Kibiki Aliyeshutumiwa Kujiteka

Hii imekaa vizuri ili ukweli ujulikane. Tumewasikia polisi, sasa ni zamu ya Kanisa nalo kuelezea kile kilichotokea. Halafu sisi wasikilizaji tutafahamu nani mkweli, na nani muongo.
Ukweli umeshajulikana Padre alikua anabeti akapata msongo wa mawazo baada ya muhindi kumpiga 3M kaamua ajiteke ili wanaomdai wasimuone maana alitegemea ashinde ndo akalipe madeni muhindi kapita na hela yake
Screenshot_20250930_144128_Instagram.jpg
 
Hapo serikali wamegusa moto kuichokoza Roman Catholic
RC ndo mbabe wa Dunia
Patachimbika
Mbabe wa dunia padre ana bet kaliwa hela anasingizia katekwa kumbe anakimbia madeni
Screenshot_20250930_144128_Instagram.jpg
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Siamini kama huyo RPC ataruhusu huo mkutano I bet utazuiliwa.
Cc britanicca
Hapo serikali wamegusa moto kuichokoza Roman Catholic
RC ndo mbabe wa Dunia
Patachimbika
Huenda ni kweli, maana huwa hawakosi sababu za kijinga zisizo na maana wala msingi wa aina yoyote.
Polisi form 4 acha wafundishwe adabu
Wapeni ushauri mapadre waache kubeti na kujiteka alafu wanasingizia msongo wa mawazo, huyu aliejiteka safari hii mahakama inamuhusu iwe funzo kwa ma padre wengine
 

Attachments

  • Screenshot_20250930_144128_Instagram.jpg
    Screenshot_20250930_144128_Instagram.jpg
    805.5 KB · Views: 6
  • Kicheko
Reactions: Tui
Wapeni ushauri mapadre waache kubeti na kujiteka alafu wanasingizia msongo wa mawazo, huyu aliejiteka safari hii mahakama inamuhusu iwe funzo kwa ma padre wengine
kadi ya kijani uliyonayo isikufanye ukawaona Watz wenzako ni mayai...
 
Vincent Cosmas Mwagala, Askofu wa Jimbo Katoliki la Mafinga “Mafingensis" atazungumza na vyombo vya habari, kesho, 30.09.2025 saa 4 asubuhi na kutoa taarifa mintaarafu kuhusu Padre Jordan Kibiki

24.09.2025 Kamanda wa Polisi (RPC) Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi aliwaeleza waandishi wa habari kwamba kwa mujibu wa uchunguzi wao, walibaini Padre Jordan Kibiki alijiteka kwa kuwa alizidiwa na madeni.

Kwamba, Padre Jordan Kibiki wa kanisa Katoliki Jimbo la Mafinga hakutekwa na kupotea kama ilivyoelezwa. Bali alitoa taarifa za uongo kupitia WhatsApp akidai ametekwa na kusafirishwa kwenda Mbeya.

Kamanda wa Polisi (RPC) Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi alisema baada ya uchunguzi wa polisi alikutwa Mbalizi, Mbeya. Padre Jordan Kibiki ni padre katika Kanisa la Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni, Mafinga..

Polisi walimkata na kumshikilia Padre Jordan Kibiki. Polisi wakamuhoji kwa tuhuma za kuchapisha na kusambaza taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii. Polisi wakasema watamfikisha Mahakamani..

Kwa kuwa polisi wametoa taarifa yao wakikanusha taarifa ya Padre Jordan Kibiki, kesho ni zamu ya kusikiliza taarifa ya Kanisa Jimbo Katoliki la Mafinga. Tusikie, ni kweli Padre Jordan Kibiki ALIJITEKA au ALITEKWA.

==
Pia soma >>>GE2025 - Polisi: Padre aliyedai ametekwa, hakutekwa. Alisafiri mwenyewe kwa basi na kwenda Mbeya
View attachment 3480903
Vip hiyo bado Embu leta mrejesho
 
Ukweli umeshajulikana Padre alikua anabeti akapata msongo wa mawazo baada ya muhindi kumpiga 3M kaamua ajiteke ili wanaomdai wasimuone maana alitegemea ashinde ndo akalipe madeni muhindi kapita na hela yakeView attachment 3481305
Mwisho wa siku Padre naye ni binadamu. Kwa hiyo hata sishangai akipitia changamoto kama hiyo.
 
Back
Top Bottom