Askofu Wa Jimbo Katoliki La Mafinga Kuongea Na Vyombo Vya Habari Tarehe 30/09/2025, Kuhusu Padri Jordan Kibiki Aliyeshutumiwa Kujiteka

Askofu Wa Jimbo Katoliki La Mafinga Kuongea Na Vyombo Vya Habari Tarehe 30/09/2025, Kuhusu Padri Jordan Kibiki Aliyeshutumiwa Kujiteka

Wale waliodai ametekwa kumbe Padri kapata depression baada ya kulizwa na wajanja kwenye mtandao wa EBay. Wavimba macho wamekosa cha kusema.
 
Mtumishi wa mungu kuwa muongo kama huyo padre ni aibu kwa kanisa
Shida kwa baadhi ya walimwengu ni kufikiri Mapadre, Watawa, Maaskofu wa Katoliki ni Malaika! Na siyo binadamu wenye udhaifu kama walivyo binadamu wengine.

NB: Kanisa haliwezi kupata aibu kwa sababu ya udhaifu wa kibinadamu wa Padre wake mmoja! Kanisa Katoliki ni taasisi yenye waumini bilioni kadhaa kote duniani!
 
Shida kwa baadhi ya walimwengu ni kufikiri Mapadre, Watawa, Maaskofu wa Katoliki ni Malaika! Na siyo binadamu wenye udhaifu kama walivyo binadamu wengine.

NB: Kanisa haliwezi kupata aibu kwa sababu ya udhaifu wa kibinadamu wa Padre wake mmoja! Kanisa Katoliki ni taasisi yenye waumini bilioni kadhaa kote duniani!
Waumini wanaamini ma padre ni malaika ndo maana polisi walivyosema padre katoa taarifa za uongo kila mtu akawa anabisha wakiamini ni malaika , haya sasa wamekiri kuwa kazingua
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Waumini wanaamini ma padre ni malaika ndo maana polisi walivyosema padre katoa taarifa za uongo kila mtu akawa anabisha wakiamini ni malaika , haya sasa wamekiri kuwa kazingua
Waumini wa wapi wanaoamini Mapadre ni malaika? Mbona mimi ni muumini wa Katoliki, na kwenye maoni yangu ya jana nilisema wazi tumewasika polisi! Ni wakati pia wa kusikia na upande wa pili ili ukweli halisi ujulikane! Je, Kwenye hayo maelezo yangu yanaonesha ninawaamini zaidi mapadre?
 
Waumini wa wapi wanaoamini Mapadre ni malaika? Mbona mimi ni muumini wa Katoliki, na kwenye maoni yangu ya jana nilisema wazi tumewasika polisi! Ni wakati pia wa kusikia na upande wa pili ili ukweli halisi ujulikane! Je, Kwenye hayo maelezo yangu yanaonesha ninawaamini zaidi mapadre?
Soma maoni ya waumini wenzako kwenye uzi huu huu
 
Mwambieni padre aache kamari tabia za kucheza kamari na kukimbia madeni alafu kusingizia ametekwa ataishia jela.
Yote ameacha ila hataacha kucheza wowowo lako
 
Vincent Cosmas Mwagala, Askofu wa Jimbo Katoliki la Mafinga “Mafingensis" atazungumza na vyombo vya habari, kesho, 30.09.2025 saa 4 asubuhi na kutoa taarifa mintaarafu kuhusu Padre Jordan Kibiki

24.09.2025 Kamanda wa Polisi (RPC) Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi aliwaeleza waandishi wa habari kwamba kwa mujibu wa uchunguzi wao, walibaini Padre Jordan Kibiki alijiteka kwa kuwa alizidiwa na madeni.

Kwamba, Padre Jordan Kibiki wa kanisa Katoliki Jimbo la Mafinga hakutekwa na kupotea kama ilivyoelezwa. Bali alitoa taarifa za uongo kupitia WhatsApp akidai ametekwa na kusafirishwa kwenda Mbeya.

Kamanda wa Polisi (RPC) Mkoa wa Iringa, Allan Bukumbi alisema baada ya uchunguzi wa polisi alikutwa Mbalizi, Mbeya. Padre Jordan Kibiki ni padre katika Kanisa la Bikira Maria Mpalizwa Mbinguni, Mafinga..

Polisi walimkata na kumshikilia Padre Jordan Kibiki. Polisi wakamuhoji kwa tuhuma za kuchapisha na kusambaza taarifa za uongo kupitia mitandao ya kijamii. Polisi wakasema watamfikisha Mahakamani..

Kwa kuwa polisi wametoa taarifa yao wakikanusha taarifa ya Padre Jordan Kibiki, kesho ni zamu ya kusikiliza taarifa ya Kanisa Jimbo Katoliki la Mafinga. Tusikie, ni kweli Padre Jordan Kibiki ALIJITEKA au ALITEKWA.

==
Pia soma >>>GE2025 - Polisi: Padre aliyedai ametekwa, hakutekwa. Alisafiri mwenyewe kwa basi na kwenda Mbeya
View attachment 3480903
Polisi ni kazi ya laana.
 
We umeolewa na nani mrembo Mwana TANU mzalendo
Mimi siyo mfuasi wa kristo wewe ndo uweke wazi nani anakukaza baada ya marehemu Papa Francis kukuruhusu muoane jinsia moja
20250930_224227.jpg
 
Mimi siyo mfuasi wa kristo wewe ndo uweke wazi nani anakukaza baada ya marehemu Papa Francis kukuruhusu muoane jinsia moja
Mimi siyo mfuasi wa kristo wewe ndo uweke wazi nani anakukaza baada ya marehemu Papa Francis kukuruhusu muoane jinsia mojaView attachment 3481447
Nàkuelewa hali unayopitia Mwana TANU
Humu jamii forums hatuna cha kukusaidia labda nenda huko Kwa warabu wakufanye chakula
 
Hivi marehemu mwamedi kwanini alioa katoto la miaka9?!
Kwasababu ni mwanaume kamili hajaleft grp kama wewe ulieruhusiwa kuolewa na mwanaume mwenzako na Papa Francis
 
Humu jamii forums hatuna cha kukusaidia labda nenda huko Kwa warabu wakufanye chakula
wewe no unaweza kuwa chakula kwa amri na maelekezo ya marehemu Papa francis
 
Kwasababu ni mwanaume kamili hajaleft grp kama wewe ulieruhusiwa kuolewa na mwanaume mwenzako na Papa Francis
Binafsi unaweza muozesha Binti wa Miaka 9..?!
 
Back
Top Bottom