Askofu Shoo atoa neno kuhusu kesi ya Ugaidi inayomkabili Freeman Mbowe

Tatizo la Shoo hajawahi kuwa neutral. KIla wakati CHADEMA au kanda ya kaskazini iko sahihi. Hii inamuondolea uhalali wa kusikilizwa.
Hata wewe hujawahi kuwa neutral zaidi kuwa dodoki la ccm, bora hata Dr Askofu Shoo anaweza kupinga kwa hoja, wewe ndie hivyo tena tia maji.
 
View attachment 1906402

Akizungumza kwenye Ibada ya mazishi ya marehemu Johara Mtei , ambaye ni Mama Mkwe wa Freeman Mbowe , Aliyeko gerezani kutokana na kesi ya uzushi ya Ugaidi , amesema hata kama siasa ni mchezo mchafu lakini walio kwenye madaraka wajaribu kutenda haki badala ya kutenda mambo yanayovuka mipaka ya utu maana hayana mwisho mwema .

DR Shoo ametoboa siri kwamba yeye na maaskofu wenzake ndio waliomuita na ndio waliomshauri Mbowe kusitisha operesheni UKUTA ili kuepusha mauaji ya Raia wasio na hatia na akatii na kusitisha maandamano yale , Bila kumung'unya maneno Askofu Shoo amesikitishwa sana na kitendo cha Mbowe kusingiziwa Ugaidi , na Amemuomba Dr Lilian ambaye ni Mke wa Mbowe kuwa na uvumilivu

View attachment 1906538
huyu Mwamba "shoo" anajiamini sana.
 
View attachment 1906402

Akizungumza kwenye Ibada ya mazishi ya marehemu Johara Mtei , ambaye ni Mama Mkwe wa Freeman Mbowe , Aliyeko gerezani kutokana na kesi ya uzushi ya Ugaidi , amesema hata kama siasa ni mchezo mchafu lakini walio kwenye madaraka wajaribu kutenda haki badala ya kutenda mambo yanayovuka mipaka ya utu maana hayana mwisho mwema .

DR Shoo ametoboa siri kwamba yeye na maaskofu wenzake ndio waliomuita na ndio waliomshauri Mbowe kusitisha operesheni UKUTA ili kuepusha mauaji ya Raia wasio na hatia na akatii na kusitisha maandamano yale , Bila kumung'unya maneno Askofu Shoo amesikitishwa sana na kitendo cha Mbowe kusingiziwa Ugaidi , na Amemuomba Dr Lilian ambaye ni Mke wa Mbowe kuwa na uvumilivu

View attachment 1906538
Unazano shoo ataacha kumtetea Mbowe, Massawe na Mushi?
 
Raia kuandamana ni haki yao kisheria, na Mbowe kuwataka waandamane kwenye hiyo operation UKUTA alikuwa akitimiza/tekeleza haki yake kisheria.

Lakini Askofu kwa kujua unyama wa polisi wetu, akaona bora amtake Mbowe aache kuwahimiza raia waandamane ili kuwaepushe na majanga ambayo yangeweza kumkuta yeye pamoja na raia.

Hapa najifunza kitu, hii nchi sasa haiongozwi tena kwa kufuata sheria, wala na chama cha siasa, inaongozwa na vyombo vya dola, hawa jamaa wanalitumia jeshi la polisi kwa manufaa yao kisiasa.

Hali hii ikiachwa iendelee itasababisha huko mbele ya safari raia wawe sugu nao watafute njia ya kujilinda na madhila ya polisi, tukifika hapo CCM watavuna walichopanda.
Tunaandika sana na tunajitahidi sana kutoa maoni yetu, bahati mbaya both sides of the Isle hutajaribu kuwa na synthesis analysis ya matukio kadri ya navyotokea na matokeo yake tunashindwa kuwa na critical path kwa all major events.

A major problem is our leaderships and the society we lead, we have allowed recklessly in how we handle and pursue our agendas forgeting that history places greater responsibility to a leader. We should never allow civil society members to direct or lead the opposition agendas (KIGOGO as a reference ), as you can now vividly see Chadema is harvesting what civil societies planted in it.

We all know civil society members can hardly win a seat even a councillors forget about the member of Parliament. I am a member of the same constituency as Mbowe, I am non descript but very sympathetic to him as person but not the party.

Politics is a war and the first casualty of war is truth.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaandika sana na tunajitahidi sana kutoa maoni yetu, bahati mbaya both sides of the Isle hutajaribu kuwa na synthesis analysis ya matukio kadri ya navyotokea na matokeo yake tunashindwa kuwa na critical path kwa all major events.

A major problem is our leaderships and the society we lead, we have allowed recklessly in how we handle and pursue our agendas forgeting that history places greater responsibility to a leader. We should never allow civil society members to direct or lead the opposition agendas (KIGOGO as a reference ), as you can now vividly see Chadema is harvesting what civil societies planted in it.

We all know civil society members can hardly win a seat even a councillors forget about the member of Parliament. I am a member of the same constituency as Mbowe, I am non descript but very sympathetic to him as person but not the party.

Politics is a war and the first casualty of war is truth.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huna lolote !
 
View attachment 1906402

Akizungumza kwenye Ibada ya mazishi ya marehemu Johara Mtei , ambaye ni Mama Mkwe wa Freeman Mbowe , Aliyeko gerezani kutokana na kesi ya uzushi ya Ugaidi , amesema hata kama siasa ni mchezo mchafu lakini walio kwenye madaraka wajaribu kutenda haki badala ya kutenda mambo yanayovuka mipaka ya utu maana hayana mwisho mwema .

DR Shoo ametoboa siri kwamba yeye na maaskofu wenzake ndio waliomuita na ndio waliomshauri Mbowe kusitisha operesheni UKUTA ili kuepusha mauaji ya Raia wasio na hatia na akatii na kusitisha maandamano yale , Bila kumung'unya maneno Askofu Shoo amesikitishwa sana na kitendo cha Mbowe kusingiziwa Ugaidi , na Amemuomba Dr Lilian ambaye ni Mke wa Mbowe kuwa na uvumilivu

View attachment 1906538

Maneno mazito sana haya toka kwake Askofu Shoo:

1. Katika nchi kuna mambo tunatendeana ambayo kibinadamu yanaumiza, yanahuzunisha, yanasikitisha na hata yanatia aibu.
2. Mbowe hakuweza kuhudhuria msiba huu hata ule wa baba yake mdogo, kwa sababu ambazo tunaambiwa tukamwulize yeye. Mambo ambayo yanaumiza.
3. Sisi tunaofuatilia mambo haya kwa mbali si kuwa hatuoni, tunaona.
4. Mungu anasema wenye haki wakimwomba kwa kweli, yeye atasikia na atajibu.

5. Kwa watanzania tunaosema tunamwamini Mungu hebu twendeni kwenye magoti tukamwombe Mungu naye atajibu.

Yawafikie wahusika wote sisi tunapokwenda kwenye magoti yetu.

Eeh mola wetu, mapenzi yako na yakatimie.
 
View attachment 1906402

Akizungumza kwenye Ibada ya mazishi ya marehemu Johara Mtei , ambaye ni Mama Mkwe wa Freeman Mbowe , Aliyeko gerezani kutokana na kesi ya uzushi ya Ugaidi , amesema hata kama siasa ni mchezo mchafu lakini walio kwenye madaraka wajaribu kutenda haki badala ya kutenda mambo yanayovuka mipaka ya utu maana hayana mwisho mwema .

DR Shoo ametoboa siri kwamba yeye na maaskofu wenzake ndio waliomuita na ndio waliomshauri Mbowe kusitisha operesheni UKUTA ili kuepusha mauaji ya Raia wasio na hatia na akatii na kusitisha maandamano yale , Bila kumung'unya maneno Askofu Shoo amesikitishwa sana na kitendo cha Mbowe kusingiziwa Ugaidi , na Amemuomba Dr Lilian ambaye ni Mke wa Mbowe kuwa na uvumilivu

View attachment 1906538
Kongole Askofu. Tuna imani haki itatendeka.
 
Back
Top Bottom