Askofu Rweyongeza: Hakuna taifa litakaloweza kuiangusha katoliki

Askofu Rweyongeza: Hakuna taifa litakaloweza kuiangusha katoliki

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
“Taasisi yetu ya Kanisa Katoliki ni ya miaka mingi, taasisi ya Katoliki ndio mama wa taasisi zote, ndio mama wa serikali zote. Imekuwapo haijaanguka tangu Yesu zaidi ya miaka elfu mbili na hakuna taifa lolote litakaloweza kuiangusha Kanisa Katoliki. Warusi walijitahidi kuangamiza Kanisa Katoliki kuanzia kufundisha watu kwamba Mungu amekufa, God is dead, taifa lao ndio limesambaratika, Mungu wetu bado yupo na kanisa bado lipo”,

Mhashamu Almachius Vincent Rweyongeza, Askofu wa Jimbo Katoliki Kayanga.



 
“Taasisi yetu ya Kanisa Katoliki ni ya miaka mingi, taasisi ya Katoliki ndio mama wa taasisi zote, ndio mama wa serikali zote. Imekuwapo haijaanguka tangu Yesu zaidi ya miaka elfu mbili na hakuna taifa lolote litakaloweza kuiangusha Kanisa Katoliki. Warusi walijitahidi kuangamiza Kanisa Katoliki kuanzia kufundisha watu kwamba Mungu amekufa, God is dead, taifa lao ndio limesambaratika, Mungu wetu bado yupo na kanisa bado lipo”,

Mhashamu Almachius Vincent Rweyongeza, Askofu wa Jimbo Katoliki Kayanga.


Ungei tag hii ng'ombe THE BIG SHOW
 
😃😃🤣 nilidhani kujisifu na kuji-mwambafy ni waamini tu,kumbe inatoka kwa viongozi,hapo rais akisema afute ruzuku toka hazina kwenda kanisani na misamaha ya Kodi bandarini iondolewe,utasikia mayowe
Kanisa bila hazina ya nchi lingekua kama makanisa ya gwajima tu
 
😃😃🤣 nilidhani kujisifu na kuji-mwambafy ni waamini tu,kumbe inatoka kwa viongozi,hapo rais akisema afute ruzuku toka hazina kwenda kanisani na misamaha ya Kodi bandarini iondolewe,utasikia mayowe
Kanisa bila hazina ya nchi lingekua kama makanisa ya gwajima tu

Wewe kweli ni mjinga hasa! Huelewi hata aliteomba kuwa na MoU.

Kanisa lilikiwa linamiliki mahospitali na shule. Serikali ikataifisha. Kanisa taratibu likajenga nyingine. Hospitali na shule ziluzotaifisgwa na Serikali zikawa duni, Serikali ikashindwa kuziendesha, ikarudi tena kwa Kanisa kuomba wazirudishe ila kuwe na makubaliano ya kuwa hospitali hizo zitatoa huduma kama hospitali za Serikali. Hata Serikali likafuta hizo ruzuku zake, Kanisa likawa na maamuzi yote juu ya hizo hospitali, halishindwi kuziendesha, tena zitakuwa bora zaidi kuliko zilivyo sasa.

Kuueleza ukweli siyo kujisifu:
Ni kweli kuwa Kanisa Katoliki ni taasisi ya kale zaidi. Na ndiyo iliyotengeneza mifumo mingi Diniani, kama vile mifumo ya Elimu, sheria na utawala. Madhehebu ya Kikristo yale ya zamani yalimeguka kutoka katoliki. Tawala kadhaa, kuanzia zile za Roma, zilijaribu kuufuta ukristo, lakini zilishindwa. China nayo ilijaribu kuufuta ukristo, lakini leo hii China ndiyo inayoongoza kwa ongezeko la wakristo Duniani, na mpaka mwaka 2030 China inatarajiwa kuwa na wakristo wengi kuliko nchi yoyote. Mataifa kama Indonesia na Iran yalijaribu kuwekasheria kali ili kuufuta ukristo, matokeo yake ndiyo unaongezeka kwa kasi. Sasa kuusema ukweli huo ndiyo kujisifu?
 
Mbona hawawakoromei hivi wakomunisti wa China pamoja na wanayo yataka kugomewa na wachina wale au huko China Catholic sio taasisi imara ?
 
Wewe kweli ni mjinga hasa! Huelewi hata aliteomba kuwa na MoU.

Kanisa lilikiwa linamiliki mahospitali na shule. Serikali ikataifisha. Kanisa taratibu likajenga nyingine. Hospitali na shule ziluzotaifisgwa na Serikali zikawa duni, Serikali ikashindwa kuziendesha, ikarudi tena kwa Kanisa kuomba wazirudishe ila kuwe na makubaliano ya kuwa hospitali hizo zitatoa huduma kama hospitali za Serikali. Hata Serikali likafuta hizo ruzuku zake, Kanisa likawa na maamuzi yote juu ya hizo hospitali, halishindwi kuziendesha, tena zitakuwa bora zaidi kuliko zilivyo sasa.
Acha uwongo wa kitoto wewe uchi,padre sivalon alisema bila serikali kanisa lingefunga taasisi zake, kupitia walei kama wewe serikalini serikali ikajifanya ku-propose MoU Ili kuokoa kanisa na taasisi zake
Hilo kanisa likikosa pesa tu Chali, maana litashindwa hudumia mapadre na maaskofu
 
Wewe kweli ni mjinga hasa! Huelewi hata aliteomba kuwa na MoU.

Kanisa lilikiwa linamiliki mahospitali na shule. Serikali ikataifisha. Kanisa taratibu likajenga nyingine. Hospitali na shule ziluzotaifisgwa na Serikali zikawa duni, Serikali ikashindwa kuziendesha, ikarudi tena kwa Kanisa kuomba wazirudishe ila kuwe na makubaliano ya kuwa hospitali hizo zitatoa huduma kama hospitali za Serikali. Hata Serikali likafuta hizo ruzuku zake, Kanisa likawa na maamuzi yote juu ya hizo hospitali, halishindwi kuziendesha, tena zitakuwa bora zaidi kuliko zilivyo sasa.

Kuueleza ukweli siyo kujisifu:
Ni kweli kuwa Kanisa Katoliki ni taasisi ya kale zaidi. Na ndiyo iliyotengeneza mifumo mingi Diniani, kama vile mifumo ya Elimu, sheria na utawala. Madhehebu ya Kikristo yale ya zamani yalimeguka kutoka katoliki. Tawala kadhaa, kuanzia zile za Roma, zilijaribu kuufuta ukristo, lakini zilishindwa. China nayo ilijaribu kuufuta ukristo, lakini leo hii China ndiyo inayoongoza kwa ongezeko la wakristo Duniani, na mpaka mwaka 2030 China inatarajiwa kuwa na wakristo wengi kuliko nchi yoyote. Mataifa kama Indonesia na Iran yalijaribu kuwekasheria kali ili kuufuta ukristo, matokeo yake ndiyo unaongezeka kwa kasi. Sasa kuusema ukweli huo ndiyo kujisifu?
Hapa umetupiga kamba Mzee , kwamba china kuna ongezeko ku wa la wakristo ?? Acha basiii
 
“Taasisi yetu ya Kanisa Katoliki ni ya miaka mingi, taasisi ya Katoliki ndio mama wa taasisi zote, ndio mama wa serikali zote. Imekuwapo haijaanguka tangu Yesu zaidi ya miaka elfu mbili na hakuna taifa lolote litakaloweza kuiangusha Kanisa Katoliki
"Ndio mama wa serikalu zote." Mliaminishwa hivyo, mkafundishwa hivyo na mkayaishi maisha hayo. Jidanganyeni tu.
 
Back
Top Bottom