PostGE2025 Askofu Ruwa'ichi: Mkiua nyoka wote, panya watawasakama mpaka kieleweke

PostGE2025 Askofu Ruwa'ichi: Mkiua nyoka wote, panya watawasakama mpaka kieleweke

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Katika Adhimisho la Misa Takatifu ya hija ya WAWATA Jimbo Kuu la Dar es Salaam iliyofanyika Disemba 6, 2025 Jimbo Katoliki la Bagamoyo, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu sana Jude Thaddaeus Ruwa'ichi OFMCap amesema nyoka anawasifu wa kuhifadhi mazingira na kuleta uwiano lakini pia anawakilisha nguvu za uovu.

"Nyoka kwa asili tunamuona kama kiumbe wa hovyo sana, ni kiumbe wa kukimbizwa na kuuwawa lakini kwa asili ni kiumbe ambaye ana umaana pia. Nyie mnaojali mazingira kwenye mazingira yenu mkiua nyoka wote panya watawasakama mpaka kieleweke. Kila nyoka unaemuona wewe ua ua utavuna panya wewe mpaka ushangae"
 
Nyoka watakufa na panya watakufa vilevile hakuna kuacha nafasi kwa nyumbu yoyote anaetaka kuvuruga amani, kama anabisha na yeye atoke aandamane aone mapokezi yatakavyokua mazuri
 
Nyoka watakufa na panya watakufa vilevile hakuna kuacha nafasi kwa nyumbu yoyote anaetaka kuvuruga amani, kama anabisha na yeye atoke aandamane aone mapokezi yatakavyokua mazuri
Tumekupata mlambo matrako wa abdul
 
Wakuu,

Msikilizeni Askofu Ruwaichi hapa. Mnadhani panya anaowazungumzia hapo Askofu ni panya wapi?

---------------------------------------

Katika Adhimisho la Misa Takatifu ya hija ya WAWATA Jimbo Kuu la Dar es Salaam iliyofanyika Disemba 6, 2025 Jimbo Katoliki la Bagamoyo, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu sana Jude Thaddaeus Ruwa'ichi OFMCap amesema nyoka anawasifu wa kuhifadhi mazingira na kuleta uwiano lakini pia anawakilisha nguvu za uovu

"Nyoka kwa asili tunamuona kama kiumbe wa hovyo sana, ni kiumbe wa kukimbizwa na kuuwawa lakini kwa asili ni kiumbe ambaye ana umaana pia. Nyie mnaojali mazingira kwenye mazingira yenu mkiua nyoka wote panya watawasakama mpaka kieleweke. Kila nyoka unaemuona wewe ua ua utavuna panya wewe mpaka ushangae"

 
Mwambie anigie rodini D9
Tutapita nae kama Sheikh Majini
 
" Revolution is when you figure for yourself and not the government, who your enemy is."
 
Wakuu,

Msikilizeni Askofu Ruwaichi hapa. Mnadhani panya anaowazungumzia hapo Askofu ni panya wapi?

---------------------------------------

Katika Adhimisho la Misa Takatifu ya hija ya WAWATA Jimbo Kuu la Dar es Salaam iliyofanyika Disemba 6, 2025 Jimbo Katoliki la Bagamoyo, Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu sana Jude Thaddaeus Ruwa'ichi OFMCap amesema nyoka anawasifu wa kuhifadhi mazingira na kuleta uwiano lakini pia anawakilisha nguvu za uovu

"Nyoka kwa asili tunamuona kama kiumbe wa hovyo sana, ni kiumbe wa kukimbizwa na kuuwawa lakini kwa asili ni kiumbe ambaye ana umaana pia. Nyie mnaojali mazingira kwenye mazingira yenu mkiua nyoka wote panya watawasakama mpaka kieleweke. Kila nyoka unaemuona wewe ua ua utavuna panya wewe mpaka ushangae"

Kuna psycology ya hali ya juu hapa.
Ua nyoka, panya wanatawala!

Kardinali kasahau kushauri umuhimu wa kuwa na paka majumbani! kuwaweka sawa panya!
 
Nyoka ni wastaabu kuliko panya. Wanawathibiti panya.

Ukiua nyoka panya watakuja hadi chumbani kwako kwa maelfu, mamilioni.
 
Back
Top Bottom