Askofu Pengo: Sikufahamu kuhusu waraka wa Kwaresma wa Baraza la Maaskofu Katoliki. Awaasa wasichanganye dini na siasa

pengo ni kadinali yaan mwenyekiti au kiongoz wa maaskofu so swali lako la ninan nivp kuwajibia umelipata
 
Hivi unaweza kuwataja waliofungwa kwenye viroba??,aliyefungwa bila kufikishwa Mahakamani nani ??,wataje,!!, aliyefukuzwa Nazi bila sababu ni nani wataje au unalenga walioghushi vyeti vya taaluma!!??!!, Tatizo baadhi yenu mlizoea short cut, hiyo mianya ya enzi za awamu iliyopita imezibwa yote na mtanyauka kweli, so mlikuwa mmeigeuza Tanzania Shamba LA bibi mnafisadi mpendavyo!!!,Wacha Magufuli awanyooshe maana mlikuwa mmepinda!!!!,KARDINALI, ana haki ya kutoa maoni yake kama ulivyotoa ya kwako, sasa ubaya wake uko wapi!!??!!,watu wanajiteka wenyewe, inasingiziwa serikali, Mahakamani Mpinzani akishinda kesi au akipewa dhamana mnasema Mahakama imetnda HAKI, ila Mpinzani akifugwa,au akinyimwa dhamana mnasema Mahakama zimepokea maelekezo toka Serkalini!!,wengine mmekosa ustaarabu alipofungwa sugu wakasema Mahakama zimekuwa sawa na Choo!!!, HIVI NYINYI MMEKUWA MIUNGU ??,YAANI SETIKALI IWAACHE MFANYE MNAVYOTAKA,MVURUGE AMANI, haiwezekani hata kidogo Shria zipo lazima mzitii asiyetaka atashurutishwa Katiba iliyopo lazima itkelezwe misingi yake, Ebo hii Tanzania huru, mnataka kuturudisha kwenye Ukoloni na Utumwa ,katu haitatokea labda kwa awmu zijazo ,lakink siyo awamu hii ya NGOSHA, HAPA KAZI TU , NGOSHA CHAPA KAZI WANYOGNGE WALIOPIGIKA WAMU ZILIZOPITA WAKO BEGA KWA BEGA NA WEWE , USIWE NA HOFU KABISAAAAAA!!
Yoote yatasemwa ila likja la kuteka,kupotea, kupiga risasi hadharani,............hayo mambo yasipo komeshwa lazima tutapiga kelele. Mkifanikiwa kutunyamzisha mawe yatapiga kelele
 
Usitegemee kumuona Kardinali Pengo akienda kinyume na matakwa ya serikali. Kauli yake ni kwamba yeye ni mtu wa umri ambao busara za Mwalimu Nyerere na falsafa zake, zimekuwa zikimuongoza.

Kardinali sio aina ya hawa wengine ambao ushawishi wa wanaharakati, ni rahisi kuteka hisia zao.
Siyo kweli, Rugambwa hakuwahi tamka lolote kuhusu serikali na alifanya yake kimya kimya kumshauri mwalimul
 
Kuna dhana ya "Collective responsibility" ambayo mshahamu Kardinali Pengo anatakiwa kupewa tuition aijue. Yeye ni sehemu ya baraza la maaskofu. Sio halali kwake kushambulia msimamo wa baraza.
Siamini msomi wa ngazi yake halielewi hili suala muhimu la corrective responsibility bali nafikiri kuna conflict of interests, after all baba Askofu Ngalalekumtwa bado yuko ofisini kama mkuu wa Kanisa mbona yuko kimya sana?
 
Siamini msomi wa ngazi yake halielewi hili suala muhimu la corrective responsibility bali nafikiri kuna conflict of interests, after all baba Askofu Ngalalekumtwa bado yuko ofisini kama mkuu wa Kanisa mbona yuko kimya sana?
Ngalalekumtwa ni kiongozi mkubwa ndani ya kanisa,ndo bosi wa maaskofu wote, pia bado yuko timamu tofauti na pengo mwenye celebral malaria,sasa kujibizana na mgonjwa ni dhambi kubwa zaidi
 
Ogopa sana ndugu au rafiki ambaye mnakula ugali pamoja halafu akitoka nje ya nyumba analalamika njaa wakati ugali alisonga yeye na wewe ukaaandaa mboga! Pengo umesonga ugali mwenywe sasa unalalamika njaa!
 
Akiendesha ibada ya jumapili ya Matawi kanisa kuu la Bagamoyo ambapo ilifanyika hija ya vijana wakatoriki Tanzania (VIWAWA), Kardinali Pengo ambaye ni askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Dar es Salaam alisema wiki chache zilizopita kuna watu wanamfuata kumuuliza maoni yake juu ya waraka wa kwaresma.

Katika mahubiri hayo alisema, japokuwa Jina lake liliandikwa mule, yeye anaupokea tu lakini hauungi mkono kwa sababu kuna sehemu umechanganya dini na siasa!

Anasema yeye hayuko tayari kuchanganya dini na siasa kwani hata Mwalimu Nyerere alilikemea hilo.

Anasema japo jina lake limo ila yeye hakushiriki kuandaa waraka huo wa kwaresma na atabaki kuupokea tu!

Hayo aliyasema wakati wa maadhimisho ya ibada ya jumapili ya Matawi Bagamoyo!

Chanzo :Africa Swahili radio habari, saa moja asbh.

NB : Vijana mliohudhuria ibada hiyo kujeni mtudhibitishie hili!
 
Hayo ni maoni yake Baba Askofu,yaheshimiwe.

Mungu amuongoze!
Sio maoni yake tu pia ndio msimamo wa Jumbo Kuu la Dar es Salaam ambalo yeye ni Kiongozi wake. Na kwa taratibu za Kanisa Katoliki hakuna Askofu yeyote anayeweza kuhoji maoni yake.
 
Naona uzee unamwingia kwa kasi na hivyo ameanza kusahau watu anao watumikia. Yee anatakiwa amuheshimu Rais wa TEC ambaye ndo mkuu wa Kanisa la Roma hapa nchini. Baraza la TEC lina mamlaka makubwa sana katika kutoa matamko kama hayo na halijawahi kukosea. Ametuangusha sana waRoma na TEC kwa ujumla
 
Unaipenda Quran kutoka moyoni. Sema uko na huo ukristo kwa ajili ya maslahi tu. Sema amina.
mimi naamini quran kama nyenzo ima mafuta ya kulainisha vichwa vilivyo jaa kutu vya kina malyenge end the like
 
Ni sawa hakushirikishwa na sababu zipo ni mgonjwa na mzee ameanza kupoteza kumbukumbu .kama ni kazi angekuwa ana miaka 20 leo toka asitaafu .kwa hivyo akae kimya
 
Back
Top Bottom