Askofu Nzigilwa: Rugemalira alitoa fedha za matoleo

Wewe "Askofu" bora ungelikaa kimya. Unadhani watu wote ni wajinga? Kwa nini itokee matoleo kwenye hela za scandle kama hizi/hela chafu na si huko nyuma? Unawafundissha nini waumini, ubingwa wa kugeuza maneno. Afadhali ungelikaa kimywa kuliko kutoa uharo kama huu. Unatuaibisha wakatoliki! Hopeless "Askofu"
 
Wananchi wamekuwa na imani na maaskofu ila kwa hili sifuri tu acha kuhadaa watu,mbona maaskofu wa makanisa mengine hawakupewa matoleo hayo????

Kipimo cha uelewa wa mambo ni pale mtu anaposomeka kutumia mipasho tu bila kujadili hoja kwa vigezo vya sheria zanazombana mhusika. Soma bandiko #5 katika mada hii nimejaribu kuwaelewesha wasio na uelewa katika masula ya misaada ya wahisani katika kanisa kusaidia miradi ya maendeleo na huduma za umma.
 
Haijawahi kutokea zaidi ya hapa Tanzania tu. Eti unakutana na askofu au mchungaji unamkabidhi sadaka au fungu la kumi? Au unamwekea kwenya account yake binafsi! Hebu aje na uongo mwingine. Ila kwa hili kanisa katoliki limo kwenye walet ya Rugemalila na Singh. Namshangaa Pengo na yule wa Vatican kulinyamazia hili. Aseme alipewa za nini? Kwanini hazikupitia account ya kanisa au taasisi anayoiongoza? Tusimwamini huyu na majibu yake rahisi. Hivi Naibu waziri wa fedha si aliwapa ultimatum ya hadi dec.31-2014 walopokea fedha wawe wamelipa incometax? Mwenye taarifa za utekelezaji wa agizo la waziri atujuze.
 
Wakatoliki kwa kashfa hii ni muhimu kubadilika na kuzuia mapadre kuwa na account binafsi!!
 
Kipimo cha uelewa wa mambo ni pale mtu anaposomeka kutumia mipasho tu bila kujadili hoja kwa vigezo vya sheria zanazombana mhusika. Soma bandiko #5 katika mada hii nimejaribu kuwaelewesha wasio na uelewa katika masula ya misaada ya wahisani katika kanisa kusaidia miradi ya maendeleo na huduma za umma.
waiona mipasho???? hongera sana labda umepata mgao
 
​usimuone vile pale anachora raketi nyingine........oooohhhh
hahahaa!!! ngoja tusubiri hiyo kashfa ya bomba la gesi (kwa mujibu wa mbowe) kama atakuwa amepiga pia. akipiga na hiyo atakuwa the best of them all!
 
unadhani maoni yako ni ya maana na mhimu sana kuliko ya watu wengine???unaijua mipasho????hongera ngulikila ww
 
Wakatoliki kwa kashfa hii ni muhimu kubadilika na kuzuia mapadre kuwa na account binafsi!!

Huwezi kuzuia padre au askofu kuwa na acount binafsi, hata tu kule uhasibu wa jimboni kila mtumishi yaani padre hata askofu ana account yake.

Kuna baadhi ya maeneo yako mbali na ofisi za jimbo, mfano jimbo kuu la Tabora watumishi wa kanisa wanaoishi Sikonge muhimu kuwa na account zao bank ya pale sikonge kuliko gharama ya kwenda hadi makao makuu ya mkoa na jimbo kuu Tabora. Jaribu kuona jambo hili kipana zaidi. Na hakuna kosa la wazi kuingiziwa pesa kwenye account binafsi kwa vile ni jambo lililozoeleka hivyo toka kwa wahisani mbalimbali sababu ya mtumishi wa kanisa kuaminiwa.
 
Basi tusiwe wakali Mzee wa Upako anavyotuzwa masela

Ficha upumbavu wako mimi ni mkatoliki na huyo Askofu anajuwa kila kitu na hiyo pesa si ya kanisa.

Ni protokal tu za kikatoliki ndio zinatufanya tukae kimya tusubilh kauli ya Vatican otherwise tungemtoa kwa mijeledi.

Haya makanisa ya mifukoni hata ukimpa pesa mchungaji kwenye akaunti yake hamna shida maana Kakobe ndio kanisa.
 
Back
Top Bottom