Askofu Niwemugizi atengeneza bango la kukemea rushwa

Askofu Niwemugizi atengeneza bango la kukemea rushwa

Parabolic

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
2,743
Reaction score
2,601
Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge wilayani Ngara Mkoa wa Kagera ametengeneza bango la kukemea rushwa kama linavyoonekana pichani.
IMG-20250717-WA0078.jpg
 
Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge wilayani Ngara Mkoa wa Kagera ametengeneza bango la kukemea rushwa kama linavyoonekana pichani.
View attachment 3409155
Safi sana hii ni kweli na lazma kila mwanasiasa au mgombea ajue ilo ata kama alijatajwa kwenye Biblia.Sasa Askofu aendelee na kutengeneza mabango ya makatazo ya kiroho pia. AMINA
 
Diamond: Nipeni barua yangu!
Wamama: Niisome!
Diamond: Nataka barua yangu !
Wamama: Niisome!
Diamond: Nasema barua yangu!
Wamama: Niisomeeeee!!!
Diamond: ayeeeeeeeeyee!!
Kinanda: tiririri riririri
 
Kwakweli dhambi kama hiyo Bibilia imetuasa kuikimbia kwa maana hiyo

No Reform No Election
 
Maaskofu wa majimbo Kagera nadhani wana shida wako kisiasa kuliko kidini

Askofu Bagonza wa KKKT kagera kajaa siasa na huyu Wa Katooi
katoliki Niwemugizi kajaa siasa
Kukemea dhambi sio siasa ni kidini, na wako sawa, kwa sababu hao wanasiasa ni waumini wao, na wanapelekaga sadaka so ni vema wakaambiwa rushwa ni adui wa haki
 
Matumizi mabaya ya sadaka za waumini
Hilo bango utakuta limetumia pesa kibao katumia kama njia ya kuiba sadaka

Hapo mimi sioni bango nahurumia sadaka za waumini zinavyotumika hovyo
 
Kukemea dhambi sio siasa ni kidini, na wako sawa, kwa sababu hao wanasiasa ni waumini wao, na wanapelekaga sadaka so ni vema wakaambiwa rushwa ni adui wa haki
Wawahubirie huko kwenye dini kwao si wamo humo na wanawajua kwa majina
Wawaite wawaambie
 
Back
Top Bottom