Matumizi mabaya ya sadaka kama ziko hazina cha kufanya wawape yatima na wajana na maskini badala ya kutumia kuchapa mabango kama hayoChawa/Vilaza wa Mom wataona hapa askofu katukana.
Cc Mbaga Jr
Matumizi mabaya ya sadaka kama ziko hazina cha kufanya wawape yatima na wajana na maskini badala ya kutumia kuchapa mabango kama hayoChawa/Vilaza wa Mom wataona hapa askofu katukana.
Cc Mbaga Jr
Duuh. Vipi kama kachapisha kwa hela zake.Matumizi mabaya ya sadaka kama ziko hazina cha kufanya wawape yatima na wajana na maskini badala ya kutumia kuchapa mabango kama hayo
kwani Askofu amesemea wapi? mbona hata hilo bango kaanza kuwaonyesha waumini wake, Lakini neno la Mungu linapaswa kuhubiriwa sehemu zote, ndio maana utakutana na wahubiri sehemu zote, ukienda yutyubu unakutana na spana.Wawahubirie huko kwenye dini kwao si wamo humo na wanawajua kwa majina
Wawaite wawaambie
Yatima hata wewe ni jukumu lako kuwatunza, toa msaada na Mungu atakubarikiMatumizi mabaya ya sadaka kama ziko hazina cha kufanya wawape yatima na wajana na maskini badala ya kutumia kuchapa mabango kama hayo
Safari hii ni kuitiwa mwizi kila mahali, mpaka akili iwakae......subiri kanisa Katoliki lielekeze vizuri waumini wake nini cha kufanya.......Matumizi mabaya ya sadaka za waumini
Hilo bango utakuta limetumia pesa kibao katumia kama njia ya kuiba sadaka
Hapo mimi sioni bango nahurumia sadaka za waumini zinavyotumika hovyo
Askofu hana mke wala mtoto la inasikitisha sanakwani Askofu amesemea wapi? mbona hata hilo bango kaanza kuwaonyesha waumini wake, Lakini neno la Mungu linapaswa kuhubiriwa sehemu zote, ndio maana utakutana na wahubiri sehemu zote, ukienda yutyubu unakutana na spana.
Na mimi ninamuomba Baba askofu aprint mabango yawe mengi, tunaona mashat, tishet, baiskel vinagawaiwa bure kama sio rushwa ni nini? Takukuru wamekaa kimya ni kama wamezibwa mdogo hawana makali, sasa Baba Askofu kalivalia njuga hili swala kwamba Rushwa ni adui wa haki, hapo spana zinapigwa ibadani, zinapigwa na mtaani hiyo ni siasa?
kwani hilo linahusiana na ujumbe ulioko kwenye bango?Askofu hana mke wala mtoto la inasikitisha
Hii ni automatically kuwa tusishiriki uchaguzi sbb ccm na rushwa ni uji naa mgonjwa.Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge wilayani Ngara Mkoa wa Kagera ametengeneza bango la kukemea rushwa kama linavyoonekana pichani.
View attachment 3409155
amefanya kazi nzuri mno,Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge wilayani Ngara Mkoa wa Kagera ametengeneza bango la kukemea rushwa kama linavyoonekana pichani.
View attachment 3409155
Malasusa kajaa uchawa.Kwakweli dhambi kama hiyo Bibilia imetuasa kuikimbia kwa maana hiyo
No Reform No Election
Hilo linajulikana mbona, acha wengine waseme, atakufa kama Kuhani EllyMalasusa kajaa uchawa.
kagera ilishuhudia matokeo ya siasa ngumu kwa nchi majirani yaliyotokea Rwanda na Burundi 1993 hadi sasa. wako sahihi. bado milima, mawe na miti itasema. siasa haiepukiki katika maisha ya binadamu hata uwe sekta gani.Maaskofu wa majimbo Kagera nadhani wana shida wako kisiasa kuliko kidini
Askofu Bagonza wa KKKT kagera kajaa siasa na huyu Wa Katooi
katoliki Niwemugizi kajaa siasa
Majina ya watu wa Burundi hayaAskofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge wilayani Ngara Mkoa wa Kagera ametengeneza bango la kukemea rushwa kama linavyoonekana pichani.
View attachment 3409155
Ameongelea siasa kwa ubaya si kwa wema auMaaskofu wa majimbo Kagera nadhani wana shida wako kisiasa kuliko kidini
Askofu Bagonza wa KKKT kagera kajaa siasa na huyu Wa Katooi
katoliki Niwemugizi kajaa siasa
Je hilo bango ndo shida au ujumbe uliobebwa na bangoMatumizi mabaya ya sadaka kama ziko hazina cha kufanya wawape yatima na wajana na maskini badala ya kutumia kuchapa mabango kama hayo
Safi sana, sitapiga kura.Askofu wa Kanisa Katoliki Jimbo la Rulenge wilayani Ngara Mkoa wa Kagera ametengeneza bango la kukemea rushwa kama linavyoonekana pichani.
View attachment 3409155