Drat
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 966
- 1,069
Acha ujinga, kwa uandishi huu shoga utakuwa wewe ID yako inaonyesha hata huko umeachia tu, waWengi wanasumbuka na Tundu Lisu ambaye alikuwa anatoa kebehi na kujifanya yeye ni zaidi ya Mtanzania yoyote yule kwa kuaminishwa kwamba angekuwa rais wa Tanzania. Hakuna msaliti yeyote yule anayeweza kubaki salama kwenye nchi yoyote ile duniani. Matusi ya kuwatukana viongozi nk bila ushahidi wowote ule.
Nampongeza sana JPM kwa kumdharau. Kura zake hazikutosha, huwezi kuwadharau Wapiga kura ati hawawezi kupanda ndege au kuwa na magari ya kuweza kutumia fly overs wakati yeye mwenyewe alipokuwa Mbunge alikuwa na gari ambalo lilinunuliwa na wapiga kura wale wale anaowatukana. Atavuna alichopanda.
Sisi wengine ndege ndio usafiri wetu wa kawaida kama alikuwa halijui hilo alifahamu. Yeye aendelee kuwa shoga tu, maana ni mtaji wake.