Kurmodosla
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 330
- 202
Ndiyo maana watu wengine wanawaita watoto wao majina kama Huruma,Elihuruma nk kina AYUBU hawana hiyo baba askofu endelea kufundisha kwa bidiii watu kuwa na huruma na upendo
Mkuu JokaKuu, nadhani Ndugai kama aliona hali hiyo ya Lissu ambayo nilishuhudia hata Mbowe akiisema hadi machozi yanalenga akikumbuka na bado Ndugai kakosa moyo wa huruma anaweza kuwa Spika katili zaidi duniani kwa wakati huu tulio nao.
'But this Devil Ndogaye has no right for dues!!!'Chama chake kinajua kwa undani masharti ya bunge na namna mbuge anaweza kufutiwa ubunge wake. Jee walimshauri au walichukua jukumu hilo?
Kaka yake ni mwanasheria mbobezi alifanya nini?
TLS ni chama cha wanasheria, Jee walimshauri au kumsaidia kiongozi wao kisheria kukinga maslahi yake?
KILL THE DEVIL BUT GIVE HIM HIS DUES
Wamefanyaje mkuuHawa maaskofu wa KKKT baadhi yao mmmhhhh....
Angekuwa na moyo wa huruma asinge mtandika bakora yule mgombea mwenzakeAmeandika baba Askofu Dr.Steven Munga (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,
__________________
Ndugu Spika, hivi ni kweli ya moyoni mwako kuwa ulikuwa hujui Mhe.Lissu aliko? Kama moyo hauna huruma na upendo, hata sheria nzuri zitatafsiriwa vibaya. BWANA uturehemu"
SHARE Zaidi uwezavyo ujumbe ufike
Wamefanyaje mkuu
Anaogopa labda zile gharama zake za matibabu zinavyoleta sintofahamu..na haijulikani anaumwa nini huyu bwana
Hawa maaskofu wa KKKT baadhi yao mmmhhhh....
Huyu askofu pamoja na Dr Shoo Mungu awabariki.
Baba Askofu unafeli wapi? Kiongozi wako sehemu ya kazi anaweza kujua uko wapi lakini kiofisi hakawa hajui.Ameandika baba Askofu Dr.Steven Munga (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,
__________________
Ndugu Spika, hivi ni kweli ya moyoni mwako kuwa ulikuwa hujui Mhe.Lissu aliko? Kama moyo hauna huruma na upendo, hata sheria nzuri zitatafsiriwa vibaya. BWANA uturehemu"
SHARE Zaidi uwezavyo ujumbe ufike
Bila kumsahao Bagonza, hawa wanazitendea haki PhD zao za ukweliHuyu askofu pamoja na Dr Shoo Mungu awabariki.
Kusema ukweli ndiyo kosa lake, washamba hawataki kuambiwa ukweli.Hapo kakosea nini ?
Nyie wahutuUaskofu wako na elimu huvitendei bwana askofu!
Hapa issue ni taharifa rasmi siyo maneno
Kama sipika hana taharifa ya maadishi, mtalaumu sana
Usimlaumu huyo ni mhutu wa lile genge la itarehamwe
Huyu askofu pamoja na Dr Shoo Mungu awabariki.
Hilo swali la huruma na upendo huyo Askofu angeanza kumuuliza Tundu Lisu, kwa usaliti alioifanyia na anaoendelea kuifanyia nchi yangu, kiukweli kabisa, don’t give a shit about him, ukiniuliza mimi sijali kilichomtokea na kitakachoendelea kumtokea.