Wewe ndiyo tukuseme Mh! Kuna nini alichosema/andika hakipo sawa! Kweli Ndugai haji alio Lisu! Mtahukumiwa najehananu mtaingia! Vyeo mtaviacha hapa duniani!Hawa maaskofu wa KKKT baadhi yao mmmhhhh....
Wewe ndiyo tukuseme Mh! Kuna nini alichosema/andika hakipo sawa! Kweli Ndugai haji alio Lisu! Mtahukumiwa najehananu mtaingia! Vyeo mtaviacha hapa duniani!Hawa maaskofu wa KKKT baadhi yao mmmhhhh....
Uaskofu wako na elimu huvitendei bwana askofu!
Hapa issue ni taharifa rasmi siyo maneno
Kama sipika hana taharifa ya maadishi, mtalaumu sana
Ndugai alikua anajua lissu alipo, isipokua spika hakujua.....Ameandika baba Askofu Dr.Steven Munga (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,
__________________
Ndugu Spika, hivi ni kweli ya moyoni mwako kuwa ulikuwa hujui Mhe.Lissu aliko? Kama moyo hauna huruma na upendo, hata sheria nzuri zitatafsiriwa vibaya. BWANA uturehemu"
SHARE Zaidi uwezavyo ujumbe ufike
Yes karma is a bitchDah! Ina maana hata wasiohusika?
Mahakama inajua TL yuko Ubelgiji,Bunge ndio halijui aibu sana kwa BungeUaskofu wako na elimu huvitendei bwana askofu!
Hapa issue ni taharifa rasmi siyo maneno
Kama sipika hana taharifa ya maadishi, mtalaumu sana
naona viongozi wa dini waliobakia kusifia watawala ni wale mashehe wa Bakwata, wa makanisa ya kina mzee wa Upako (mzee wa wine), askofu gap-toothed, mamaa anayevaa magauni ya vyuma mwilini, nk.Ameandika baba Askofu Dr.Steven Munga (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,
__________________
Ndugu Spika, hivi ni kweli ya moyoni mwako kuwa ulikuwa hujui Mhe.Lissu aliko? Kama moyo hauna huruma na upendo, hata sheria nzuri zitatafsiriwa vibaya. BWANA uturehemu"
SHARE Zaidi uwezavyo ujumbe ufike
Hapana Ndugai yeye ni mtekelezaji wa maagizo ya Jiwe fulls top.Ndugai kwa nafasi yake kama Spika, naona hajiamini, hivyo anafanya kila awezavyo kuitetea nafasi yake hiyo katika bunge lijalo kwa kujaribu kumfurahisha Mkulu. Si kwamba hatambui TL alipo, bali pengine anaijua chuki ya JPM dhidi ya TL, hivyo ameamua ku "side" naye kimkakati. Uwepo wa Dr. Tulia chini yake unamkumbusha jinamizi la enzi za Spika Sita na Naibu wake Makinda.
Kipofu kaona mwezi!
Hizo ni kesi mbili tofautiMahakama inajua TL yuko Ubelgiji,Bunge ndio halijui aibu sana kwa Bunge
Kumbe hakufaa kuwa mkuu wa kanisaAmeandika baba Askofu Dr.Steven Munga (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,
__________________
Ndugu Spika, hivi ni kweli ya moyoni mwako kuwa ulikuwa hujui Mhe.Lissu aliko? Kama moyo hauna huruma na upendo, hata sheria nzuri zitatafsiriwa vibaya. BWANA uturehemu"
SHARE Zaidi uwezavyo ujumbe ufike
Anaogopa labda zile gharama zake za matibabu zinavyoleta sintofahamu..na haijulikani anaumwa nini huyu bwana
Uaskofu wako na elimu huvitendei bwana askofu!
Hapa issue ni taharifa rasmi siyo maneno
Kama sipika hana taharifa ya maadishi, mtalaumu sana
Praise team wote ni mambumbu,hata kiswahili kinakupata shida.Kuwa na kundi kubwa la watu wajinga kama wew livuvuzera, watu wenye akili wataendelea kutekwaUaskofu wako na elimu huvitendei bwana askofu!
Hapa issue ni taharifa rasmi siyo maneno
Kama sipika hana taharifa ya maadishi, mtalaumu sana
Uaskofu wako na elimu huvitendei bwana askofu!
Hapa issue ni taharifa rasmi siyo maneno
Kama sipika hana taharifa ya maadishi, mtalaumu sana
Ubinadamu tumeuonaKabla ya Sheria kuna Ubinadamu ,Hali ya Ubinadamu aliyokuwa nayo Mh Lissu alipokuwa ktk Hali ya Umauti kwa Mwili wake kuchakazwa na Risasi isinge wezekana kufanya hayo mliyo yataka.Hata kama ni wewe ,hebu Vaa uhalisia wa Tukio la Lissu kushambuliwa kama Jambazi kwenye Nchi yake unge jisikiaje yani !!.
"Kiswahili kinakupata" ndiyo nini?Praise team wote ni mambumbu,hata kiswahili kinakupata shida.Kuwa na kundi kubwa la watu wajinga kama wew livuvuzera, watu wenye akili wataendelea kutekwa