Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,657
- 8,592
Hawa Maaskofu wasijifanye wajuaji sana. Kwani Ndugai anafanya kwa mapenzi yske au anafuata kanuni na taratibu?Ameandika baba Askofu Dr.Steven Munga (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,
__________________
Ndugu Spika, hivi ni kweli ya moyoni mwako kuwa ulikuwa hujui Mhe.Lissu aliko? Kama moyo hauna huruma na upendo, hata sheria nzuri zitatafsiriwa vibaya. BWANA uturehemu"
SHARE Zaidi uwezavyo ujumbe ufike