Askofu Munga: Hivi Ndugai toka moyoni mwako ulikuwa hujui Lissu aliko? Moyo wako hauna huruma na upendo?

Hilo swali la huruma na upendo huyo Askofu angeanza kumuuliza Tundu Lisu, kwa usaliti alioifanyia na anaoendelea kuifanyia nchi yangu, kiukweli kabisa, don’t give a shit about him, ukiniuliza mimi sijali kilichomtokea na kitakachoendelea kumtokea.

Ameisaliti Nchi kwa kufanya nini Mkuu.
 
Hilo swali la huruma na upendo huyo Askofu angeanza kumuuliza Tundu Lisu, kwa usaliti alioifanyia na anaoendelea kuifanyia nchi yangu, kiukweli kabisa, don’t give a shit about him, ukiniuliza mimi sijali kilichomtokea na kitakachoendelea kumtokea.
You don't care simply because you're a devil,your mental falcuty is completely seized with demos.Wew sio Jiwe ni mnyama utakufa tu any time acha kujidanganya privilege za muda.Mmegeuza nchi kama mali yenu hvyo shetan amewapa haki ya kujifanyisha wazalendo yeyote anayewaza kinyume na upuuzi wenu ni msaliti.
 
Ameandika baba Askofu Dr.Steven Munga (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,
__________________
Ndugu Spika, hivi ni kweli ya moyoni mwako kuwa ulikuwa hujui Mhe.Lissu aliko? Kama moyo hauna huruma na upendo, hata sheria nzuri zitatafsiriwa vibaya. BWANA uturehemu"
SHARE Zaidi uwezavyo ujumbe ufike
Angekuwa na huruma na upendo asingemtwanga na rungu mpaka akaflati mgombea mwenzake.
 
Kwahivyo mwajiri ajuwe alipo kupitia social media na sio official letter ama official info za hospitali/taarifa za daktari?
Angekuwa Askofu wa katoliki ningehama dhehebu... shame on him
 
Wewe ndiyo tukuseme Mh! Kuna nini alichosema/andika hakipo sawa! Kweli Ndugai haji alio Lisu! Mtahukumiwa najehananu mtaingia! Vyeo mtaviacha hapa duniani!

Mahakama ndiyo itatuambia kile ambacho hakiko sawa....kuhusu wengine kuhukumiwa jehanamu hilo nalo litajulikana muda wake ukifika...lakini mambo haya ya jehanamu isije ikawa wale wanaodhani wengine watakwenda jehanamu kumbe ni wao watakaokwenda huko....tehtehteh...wale ambao hujipiga kifua kwa kujiita 'watakatifu' na kuwahukumu wenzao mambo hubadilika huko ambako kila mtu atakwenda...tehtehteh
 
Ameandika baba Askofu Dr.Steven Munga (PhD), Mkuu wa KKKT Dayosisi ya Kaskazini Mashariki,

__________________

Ndugu Spika, hivi ni kweli ya moyoni mwako kuwa ulikuwa hujui Mhe.Lissu aliko? Kama moyo hauna huruma na upendo, hata sheria nzuri zitatafsiriwa vibaya. BWANA uturehemu"

SHARE Zaidi uwezavyo ujumbe ufike
Ndugu ROU, nakuomba umfikishie Askofu ujumbe:

Ndugu na watanzania wengi tulijua na tunajua Lissu Alipo, lakini Ndugai anamaanisha ya kuwa kuna sheria za ki IDARA kuwa mbunge yoyote amabaye itabidi akapate matibabu nje ya nchi, iwe kwa malipi ya serekali ama binafsi, ana wajibika kupeleka maelezo ya kimaandishi yakiambatana na ripoti ya hospitali Bungeni. Sasa lissu, wala nduguze ama chama chake hawakufanya hivyo.

Hilo ndilo tatizo.
 
Ndio Askofu na Watanzania wajue kuwa Watanzania tunatawaliwa na binadamu wenye roho ya Shetani. Ndugai ni Shetani aliyejivika joho la Uspika wa Bunge letu!!!
 
Uaskofu wako na elimu huvitendei bwana askofu!
Hapa issue ni taharifa rasmi siyo maneno
Kama sipika hana taharifa ya maadishi, mtalaumu sana
Halafu hapo Lumumba ndio wanakutegemea uende ukafundishe kiswahili kwenye nchi za SADC!!

Nyie watu ni maangamizi ya taifa letu.
 
Ndugu ROU, nakuomba umfikishie Askofu ujumbe:

Ndugu na watanzania wengi tulijua na tunajua Lissu Alipo, lakini Ndugai anamaanisha ya kuwa kuna sheria za ki IDARA kuwa mbunge yoyote amabaye itabidi akapate matibabu nje ya nchi, iwe kwa malipi ya serekali ama binafsi, ana wajibika kupeleka maelezo ya kimaandishi yakiambatana na ripoti ya hospitali Bungeni. Sasa lissu, wala nduguze ama chama chake hawakufanya hivyo.

Hilo ndilo tatizo.
Je, Ndugai aliwakumbusha hao Ndugu, Chama au Lisu kufanya hivyo wakashindwa kufanya hivyo!!?
Je, ule utaratibu wa madaktari wa Bunge kutafuta taarifa za Mbunge Mgonjwa na kuzitoa kwa Bunge Mbona usitumike!!!?
Ndugai ana roho wa ibilisi ndani yake, si bure!!!
 
Ndugu na watanzania wengi tulijua na tunajua Lissu Alipo, lakini Ndugai anamaanisha ya kuwa kuna sheria za ki IDARA kuwa mbunge yoyote amabaye itabidi akapate matibabu nje ya nchi, iwe kwa malipi ya serekali ama binafsi, ana wajibika kupeleka maelezo ya kimaandishi yakiambatana na ripoti ya hospitali Bungeni. Sasa lissu, wala nduguze ama chama chake hawakufanya hivyo.
Unataka kusema hujasikia familia yake kwamba waliwasiliana kwa barua na Ofisi ya Bunge zaidi ya mara ishirini? Hizo taratibu mbona haziwekwi wazi kwa Umma?
 
Hilo swali la huruma na upendo huyo Askofu angeanza kumuuliza Tundu Lisu, kwa usaliti alioifanyia na anaoendelea kuifanyia nchi yangu, kiukweli kabisa, don’t give a shit about him, ukiniuliza mimi sijali kilichomtokea na kitakachoendelea kumtokea.

"Una roho mbaya sana kupita kiasi, afadhali hata JINI MAKATA ANA HURUMA KULIKO WEWE"
Khaaaa jamani!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom