Askofu mkuu Ruwa'ichi anasema corona bado ipo, amesihi tuendelee kuvaa barakoa, tunawe mikono, tufuate kanuni za afya

Nimaeneo gani hupati maelezo juu ya kujikinga na korona?? Mitandao yote inasema, hadi ATM Zote ukiiingia zinakwambia juuu ya korona. Ofisi zote kunatahadhali kedekede. Au nani hajui kama kunamlipuko wa korona??
 
Mwambieni askofu korona haiondolewi kwa kunawa mikono. Mungu tu ndiyo huondoa korona.

Askofu Rwaichi aache porojo na kutafuta umaarufu ktk hili suala la korona. Siyo watanzania wote wanakula madhabahuni kama yeye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…