Mohammed Hamad
JF-Expert Member
- Jan 17, 2011
- 3,988
- 1,304
Haya tunarudia kusema...ASKOFU HUYU ANA NJAA NA HAJASOMA....umeridhika?
Unajua alieweka sumu ya kuhubiria watu wa kanisa fulani wachague chama fulani ndio ametufikisha hapa hutakaa hata siku moja lile kanisa usikie wanakuja na kauli kama hizi sana sana makanisa kama ya padri Mhogolo na mengineyo ndio utawasikia wakitoa kauli kinzani kama hizi.
Ushauri wangu chama kina muda wa kujipanga sisi tusio jali maswala ya udini tutavutika chama kikijuvua joho la udini ijapo kuwa ni vizuri kutumia viongozi wa kidini ili kuvuta wafuasi ila isiwe kutumia wa dini moja au dhehebu fulani tu hii ni hatari.