Songasonga
Senior Member
- Mar 13, 2011
- 152
- 14
Hivi mnajua kuna watu walimsikiliza na wakamshangilia? Hamjaliona Hilo? Once said never comes back
huyu askofu nadhani ni mmoja kati ya watu wanaofaidika na ufisadi nchini.Chadema na Dr Slaa wamekuwa maarufu
kabla hata ya kuwataja hao mafisadi.Amekuwa bungeni miaka 15 bado umaarufu alikuwa nao,na hao hao
aliowataja pale mwembeyanga wengine tayari wako mahakamani.Suala la huyo askofu kusema kuwa Slaa
apeleke ushahidi wake mahakamani sio sahihi na ajue kabisa siasa bila umaarufu sio siasa,mbona hakulaumu
JK alivyosema anawafahamu wala rushwa na wauza madawa kwa majina mbona hakumwambia JK
naye apeleke ushahidi mahakamani?