Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Madhehebu ya dini yasiyokuwa na regulatory organs wanafanya mambo ya aibu sana kwa binadamu wenzao kwa kisingizio cha imani. Hebu fikiria kama sio umbumbumbu wa mwisho kabisa au fanatism, sijui additction au what help me? Eti Mchungaji hayupo siku hiyo wanafunguliwa Cd ya mahubiri yake.Kwani hamna mchungaji mwingine? Eti Nabii kasafiri, ukigusa mti alioupanda pembeni mwa kanisa lake la upako basi ni sawa na umemgusa Nabii na matatizo yako yote ya ukwasi yameisha. Watu wamelizwa magari , na fedha nyingi kumtajirsha mjanja mmoja na wala serikali haijali kitu. Grrrrrr