Scoundrel
JF-Expert Member
- Jan 14, 2019
- 602
- 483
Pole MkuuTena walimwambia ili aruhusiwe kuingia ndani basi wamfumue nywele zake. Muda huo atakuwa anasikiliza Neno au atakuwa anahudumiwa kisaloon?
Je, tunasimamia matendo ya Sheria au Imani? Mtu anaaminije ikiwa hutaki asikilize na kufundishwa kwanza?