Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Mkutano ulioshirikisha waziri ngeeleja na askofu kakobe umeshindwa kumalzika bila muafaka
huku waziri akihamaki na kukiiri kazi iliopo mbele ni nzito...ngeleja na wenzake wameshindwa kwa mara nyingine tena kumshawishi askofu kakobe awaachie waendelee na nguzo zao ambazo bico wamesema mbali uliopo zitawaathiri watu...
More info
nunua nipashe jumapili
huku waziri akihamaki na kukiiri kazi iliopo mbele ni nzito...ngeleja na wenzake wameshindwa kwa mara nyingine tena kumshawishi askofu kakobe awaachie waendelee na nguzo zao ambazo bico wamesema mbali uliopo zitawaathiri watu...
More info
nunua nipashe jumapili