Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

mkuu unapata shidah!!! huku mitandaon tunakutana sisi wenyewe, unayoyasema hayamfikii bibi yangu kule kijijin, hivyo ni bora ukaenda kijijin ukasema hayo na sii huku ambapo huwezi badilisha msimamo wa mtu
 
Gwajima amenishangaza aliposema yeye ni mpatanishi,hivyo alitaka kuwapatanisha Lowasa na Chadema.Sasa najiuliza kwanini asingefikiria kwanza kuwapatanisha Lowasa na CCM?Mchungaji acha siasa utaumbuka bure
 
Mie Gwajima simpendi kwa sababu alimtukana kiongozi wangu mkuu wa dini ninayemuheshimu sana kuliko watu wote hapa duniani.
 
gwajima alizungumza kuhusu upotoshaji wa slaa kwa umma wa watanzania, na hakukisemea chama, kasema yote ambayo slaa alimuhusisha yeye kuwa ni mshenga
 
Pole sanaaa
 
Mie Gwajima simpendi kwa sababu alimtukana kiongozi wangu mkuu wa dini ninayemuheshimu sana kuliko watu wote hapa duniani.

kiongoz yupi mkuu!!! kiongoz abayepishana kaul na maaskof wenzie?? ndio maana hata maaskof wenzie walimpuuza huyo unayempenda
 
Ipo siku mtagundua kwamba Dr.Slaa yuko sahihi kukataa kula na mafisadi

Ata kama lakini alitakiwa kuchuja kipi cha kuzungumza public na kipi kishughurikiwe kimaadili zaidi sasa yeye kama kuchafua viongozi wa dini kwa habari za kuambiwa na ata mlipoambiana uko hatupajui ilikua wapi na mlikutana kwa malengo yapi
 
Hata mimi huyo anayejiita askofu Gwajima nimemdharau sana hana maadili ya ukristu kabisa,wafuasi wake sijui aliwapa limbwata gani
 
Kazi mliyompa DR. ni ngumu mno!! na yeye alikurupuka kuikubali - huko aliko atakuwa anajuta!!
 
Na ndio maana nikasema Gwajima ni mtoto wa mjini Halafu mjanja na trust me jamaa anajua mengi tena ya pande zote. Amekuwa mwerevu kuliko TISS yetu

Sasa naelewa kwa nini Slaa baada ya kujua kuwa Gwajima atamjibu kupitia vyombo vya habari ikabidi asepe,he knew what was coming na alijua asingeweza kujibu mapigo.Kama msemaji mmoja hapo juu alivyosema,kama ataendelea kufungua mdomo wake tena (ambalo silioni kutokea) Gwajima atashusha "Little Boy"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…