Hapa chini akimjibu Spika na barua yake ya wito kumtaka atokee mbele ya kamati ya maadili, kinga na haki ya Bunge la JMT...
Amesema, atakwenda Dodoma kesho J'3 tarehe 23/8/2021 kama barua inavyosema.
Aidha kasema haogopi chochote, hayumbi ktk misimamo yake bila kujali chochote na daima atasimama katika kweli na sasa atakwenda kusema na mengine ambayo hata hatujawahi kuyasikia.
Aende akatoe ushahidi Muheshimiwa Raisi kahongwa na nani na kiasi gani?
Atoe ushahidi kuwa chanjo ni sumu.
Akatoe ushahidi wa nanomilimita? Iliyomo kwenye chanjo ambayo inasaidia kuwacontrol waliochoma.
Akatoe ushahidi kuwa muheshimiwa raisi aliwadanganya watanzania kwa kuchoma maji badala ya chanjo ya jensen.
Uzuri huwa sipendi kusimuliwa,nafuatilia mwenyewe,nimemsikia mwenyewe Gwajima!
Na Leo ndo nimeona clip ya Moleli naibu waziri akiongea kuwa chanjo haifai kipindi cha hayati Magufuli,aisee sijaamini nilichokiona na...
Yamevuja Hadi ya ndani kabisa, kumbe dada Doro hawezi kuishi na wanaume, kisha achwa mara mbili kwenye ndoa, achana na vibuti vya kupigwa na ma boyfriend na michepuko
Yamevuja Hadi ya ndani kabisa, kumbe dada Doro hawezi kuishi na wanaume, kisha achwa mara mbili kwenye ndoa, achana na vibuti vya kupigwa na ma boyfriend na michepuko
[/QUOTE
HAITUHUSU!!! MTAFUTE WEWE BASI?