#COVID19 Askofu Gwajima na Mkurugenzi wa chanjo ya Pfizer na mgunduzi wa MRNA watakutana Zoom kujadili Madhara ya chanjo

Siku ya jumanne week ijayo Askofu Gwajima ameweka wazi kuwa atafanya mjadala mpana na marafiki zake Mkurugenzi wa chanjo ya Pfizer pamoja na mgunduzi wa MRna kuhusu chanjo ya corona

Mahojiano yatakuwa live kupitia zoom meeting, Link ataiweka siku ya jumanne kwenye Instagram page yake

Anaomba watu washiriki mjadala huo, Mjadala utaongozwa na Askofu Gwajima mwenyewe,

Askofu Gwajima anaomba washiriki zaidi ili kuboresha mjadala na kuuliza maswali

Anasema washiriki wenza ni marafiki zake wa siku nyingi, Hivyo kila mtu aje na data zake za kisayansi Halafu tuone mapambano wa mjadala

Gwajima anasema kuna kitu hakipo sawa kwenye hii dunia kwa sasa, Watu wachache ndio wanaendesha hii dunia watakavyo wao

Askofu Gwajima anashauri serikali huu ni wakati wa kuwekeza kwenye intelligensia sana

Anasisitiza tusomeshe watu na kuwekeza zaidi kwenye Medical intelligence na Economic intelligence pamoja na Diplomatic intelligence ili tusonge mbele kama Taifa

Pumba tupu chanjo ya jj sio ya mRna ! Mgumduzi wa hii technology ni dr mama mweusi ambaye Gwajima hamfahamu. Ame tafuta Dr wengine anawaita wagunduzi. Watanzania acheni kupenda kulishwa uongo ukiumwa utakuwa peke yako kitandani
 
Wewe ni mpumbavu pia!
Kwani Bill Gates, anayetengeneza na kusambaza chanjo yeye ni daktari?
Tangu lini mtaalamu wa software za computer akahusika na chanjo, amesomea wapi udaktari, acha ufala kwani hadi sasa bado unaamini kuwa kuna Corona?
Fala wewe hebu waambie jamaa zako waache kuvaa barakoa kama utaona mgonjwa wa Covid19 nchini..fyuuu
Kwamba hakuna Corona
Muulize Jiwe, alijifanya mjuaji zaidi yako
 
Kwamba hakuna Corona
Muulize Jiwe, alijifanya mjuaji zaidi yako
Wewe unadhani Jiwe alikufa kwa Corona? It was Heart attack assasination.
Ukitaka kujua kuhusu Corona angalia kitu kiitwacho Exosoms! Hiki kitu kipo naturally for thousands of years na hakina madhara kwa binadamu leo tunalazimishwa barakoa na kunawa, ***** zao!
Sikutafunii kila kitu jomba
 
Nyie watu ipo siku ambayo mtatamani siku zirudishwe nyuma lakini haitawezekana. Gwajima mnaweza kumuona mpuuzi leo hii lakini miaka kadhaaa mbele itakuwa majuto Ni mjukuu. Mwaka 2017 Kuna kitu niliandika humu Jf nikaambiwa umaskini unanisumbu lakini Jambo lile limetokea 2021.
Jambo gani hilo mkuu liweke wazi
 
Gwajima sio mwanasayansi, atapata wapi uhalali wa kupinga chanjo ya wengine kama yeye hana ya kwake? tafiti hupingwa na tafiti, sio kelele za kanisani, au ana maabara kanisani kwake? aliposema within 5 years watu waliochanja watapata madhara alitumia kigezo gani?

Naona Gwajima anaendelea kutafuta njia za kuchezea akili za wajinga tu, kila jumapili aimbwe yeye mitandaoni, lakini kiuhalisia Gwajima anapotezea watu muda kwa hizi ngonjera zake, alisema Corona haitakuja Tanzania ikaja, leo ametafuta kiki nyingine nothing else.
Sio mwanasayansi ila alitumia sayansi kuhoji madhara ya chanjo,kwanini asijibiwe kisayansi? Simple
 
Gwajima sio mwanasayansi, atapata wapi uhalali wa kupinga chanjo ya wengine kama yeye hana ya kwake? tafiti hupingwa na tafiti, sio kelele za kanisani, au ana maabara kanisani kwake? aliposema within 5 years watu waliochanja watapata madhara alitumia kigezo gani?
Amewaomba hizo tafiti akina Dorothy na Mollel. Hawana. Tatizo linaanzia hapo maana ni haohao just 5 month ago waliokuwa wanapinga tafiti za wazungu huku povu likiwatoka na kupromote juice ya tangawizi, limao na kitunguu swaumu.
 
Hii comments ihifadhiwe vizur mana haya ndo yajayo, count on me, anarudi kwenye reli baada ya kashkash kubwa.
Utabiri: gwajima ataendelea kushikilia msimamo wake juu ya chanjo ya uviko 19 hali itakayosababisha atofautiane na viongozi wa juu, atalazimika kuhama chama na kwenda upinzani na huenda akapewa 'heshima' kubwa huko.
 
Gwaji boy naye anatuchanganya...mjadala huo unahusu nini sasa wakati pfizer wameshatengeneza mamilioni ya chanjo wameshapiga hela duniani za kutosha sasa anataka kuwapa utalaam hao pfizer kwamba chanjo haifai? na wao pfizer waache kutengeneza?.....tunajua msimamo wake yeye Gwaji boy ni kuwa hataki chanjo...

Naanza kuona na kunusa kwa mbaali ugomvi wa kimaslahi hapa na udalali ulioshindikana ndio maana wanaparuana na shemejiye na serikali..
 
Siku ya jumanne week ijayo Askofu Gwajima ameweka wazi kuwa atafanya mjadala mpana na marafiki zake Mkurugenzi wa chanjo ya Pfizer pamoja na mgunduzi wa MRna kuhusu chanjo ya corona

Mahojiano yatakuwa live kupitia zoom meeting, Link ataiweka siku ya jumanne kwenye Instagram page yake

Anaomba watu washiriki mjadala huo, Mjadala utaongozwa na Askofu Gwajima mwenyewe,

Askofu Gwajima anaomba washiriki zaidi ili kuboresha mjadala na kuuliza maswali

Anasema washiriki wenza ni marafiki zake wa siku nyingi, Hivyo kila mtu aje na data zake za kisayansi Halafu tuone mapambano wa mjadala

Gwajima anasema kuna kitu hakipo sawa kwenye hii dunia kwa sasa, Watu wachache ndio wanaendesha hii dunia watakavyo wao

Askofu Gwajima anashauri serikali huu ni wakati wa kuwekeza kwenye intelligensia sana

Anasisitiza tusomeshe watu na kuwekeza zaidi kwenye Medical intelligence na Economic intelligence pamoja na Diplomatic intelligence ili tusonge mbele kama Taifa
Atupatie anwani ya hiyo Zoom meeting nitahudhuria.
 
Mleta Uzi,
Ndiyo maana watanzania tunafananishwa na vitu.

Ni mtu mjinga tu anaweza kumsikiliza Gwajima,yaani watanye mahojiano na mgunduzi na mtu ambaye hana taaluma ya magonjwa!

Duuuuh!yaani mgunduzi wa chanjo afanye mahojiano na mtu ambaye hajui hata sindano inachomwaje!
gwajima kujimwambafai tu na kudaganya misukule yake pale kwake
 
Nyie watu ipo siku ambayo mtatamani siku zirudishwe nyuma lakini haitawezekana. Gwajima mnaweza kumuona mpuuzi leo hii lakini miaka kadhaaa mbele itakuwa majuto Ni mjukuu. Mwaka 2017 Kuna kitu niliandika humu Jf nikaambiwa umaskini unanisumbu lakini Jambo lile limetokea 2021.
Hivi huwa mnaziba macho na masikio?

Ile treni alonunua cash iko wapi?
 
Rafiki yangu Gwjiboy sio size yako hata umdhihaki kiasi gani.
Na kweli sio size yangu anajificha kwenye kivuli Cha dini huku mzinifu na muongo alisema coronavirus haipo na sasa ipo Tanzania, alisema hagombei ubunge na sasa yuko mjengoni kwa chama kilicholetea taifa hili hasara, na soon atachoma chanjo tu hadharani, sasa hapo tutakuwaje size moja aisee, hafu pia anafufua misukule na mimi sijawahi fufua misukule. You can see the differences eeeh
 
Siku ya jumanne week ijayo Askofu Gwajima ameweka wazi kuwa atafanya mjadala mpana na marafiki zake Mkurugenzi wa chanjo ya Pfizer pamoja na mgunduzi wa MRna kuhusu chanjo ya corona

Mahojiano yatakuwa live kupitia zoom meeting, Link ataiweka siku ya jumanne kwenye Instagram page yake

Anaomba watu washiriki mjadala huo, Mjadala utaongozwa na Askofu Gwajima mwenyewe,

Askofu Gwajima anaomba washiriki zaidi ili kuboresha mjadala na kuuliza maswali

Anasema washiriki wenza ni marafiki zake wa siku nyingi, Hivyo kila mtu aje na data zake za kisayansi Halafu tuone mapambano wa mjadala

Gwajima anasema kuna kitu hakipo sawa kwenye hii dunia kwa sasa, Watu wachache ndio wanaendesha hii dunia watakavyo wao

Askofu Gwajima anashauri serikali huu ni wakati wa kuwekeza kwenye intelligensia sana

Anasisitiza tusomeshe watu na kuwekeza zaidi kwenye Medical intelligence na Economic intelligence pamoja na Diplomatic intelligence ili tusonge mbele kama Taifa

Gwajima kada pekee wa ccm aliemua kubaki na akili yake
 
Back
Top Bottom