johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,750
- 139,548
Akihubiri kanisani kwake siku ya Jumapili askofu Gwajima alisema leo Jumanne ataongoza mjadala wa kidunia utakaohusu chanjo ya covid 19 kupitia mitandao ya kijamii.
Miongoni mwa washiriki ni mtengenezaji wa chanjo ya Pfizer na Watafiti wengine nguli wa Kemia na Baiolojia.
Nitawawekea hapa link panako muda muafaka.
Mungu ni mwema wakati wote!
Miongoni mwa washiriki ni mtengenezaji wa chanjo ya Pfizer na Watafiti wengine nguli wa Kemia na Baiolojia.
Nitawawekea hapa link panako muda muafaka.
Mungu ni mwema wakati wote!