Katika kikao kinachoendelea Bungeni leo agosti 31, Kamati ya maadili iliyowahoji Askofu Josephat Gwajima na mbunge Jerry Slaa imetoa ripoti yake na mapendekezo ya adhabu.
Kwa upande wa askofu josephat Gwajima, Kamati imesema kua ilimtaka atoe evidence juu ya zile tuhuma alizokua akizisema zikiwemo kwamba kuna watu wamepokea hela ili chanjo iingie nchini, Wachoma chanjo watapata madhara baadaye.
baada ya kuambiwa alete ushahidi wake juu ya madai hayo Askofu Gwajima alisema Hayo ni mahubiri ya kiroho hivyo hayapaswi kukosolewa na alivyoendelea kutakiwa atoe evidence za utafiti wake alikaa kimya.
ikumbukwe Askofu Gwajima aliwahaaidi wahumini wake kwamba atakwenda kuieleza ukweli kamati ya maadili
===
“Askofu Gwajima alishindwa kuthibitisha kauli zake wala hakuwa na ushahidi na kielelezo chochote kama alivyouaminisha umma kuwa anao ushahidi”.
Kufuatia maelezo hayo Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge Emmanuel Mwakasaka ameeleza kuwa kamati imemtia hatiani, Mbunge wa Kawe Askofu Gwajima.
Mwenyekiti Mwakasaka, ameeleza kuwa “Askofu Gwajima hakukiri wala kujutia makosa yake, alionyesha dharau na hivyo Kamati imemtia hatiani, Bunge linaazimia kuwa apewe adhabu ya kutohudhuria mikutano miwili mfululizo ya Bunge baada ya kupitisha azimio.”
Kwa upande wa askofu josephat Gwajima, Kamati imesema kua ilimtaka atoe evidence juu ya zile tuhuma alizokua akizisema zikiwemo kwamba kuna watu wamepokea hela ili chanjo iingie nchini, Wachoma chanjo watapata madhara baadaye.
baada ya kuambiwa alete ushahidi wake juu ya madai hayo Askofu Gwajima alisema Hayo ni mahubiri ya kiroho hivyo hayapaswi kukosolewa na alivyoendelea kutakiwa atoe evidence za utafiti wake alikaa kimya.
ikumbukwe Askofu Gwajima aliwahaaidi wahumini wake kwamba atakwenda kuieleza ukweli kamati ya maadili
===
“Askofu Gwajima alishindwa kuthibitisha kauli zake wala hakuwa na ushahidi na kielelezo chochote kama alivyouaminisha umma kuwa anao ushahidi”.
Kufuatia maelezo hayo Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge Emmanuel Mwakasaka ameeleza kuwa kamati imemtia hatiani, Mbunge wa Kawe Askofu Gwajima.
Mwenyekiti Mwakasaka, ameeleza kuwa “Askofu Gwajima hakukiri wala kujutia makosa yake, alionyesha dharau na hivyo Kamati imemtia hatiani, Bunge linaazimia kuwa apewe adhabu ya kutohudhuria mikutano miwili mfululizo ya Bunge baada ya kupitisha azimio.”