#COVID19 Askofu Gwajima na Mkurugenzi wa chanjo ya Pfizer na mgunduzi wa MRNA watakutana Zoom kujadili Madhara ya chanjo

seedfarm

JF-Expert Member
Feb 9, 2020
260
2,654
Siku ya jumanne week ijayo Askofu Gwajima ameweka wazi kuwa atafanya mjadala mpana na marafiki zake Mkurugenzi wa chanjo ya Pfizer pamoja na mgunduzi wa MRna kuhusu chanjo ya corona

Mahojiano yatakuwa live kupitia zoom meeting, Link ataiweka siku ya jumanne kwenye Instagram page yake

Anaomba watu washiriki mjadala huo, Mjadala utaongozwa na Askofu Gwajima mwenyewe,

Askofu Gwajima anaomba washiriki zaidi ili kuboresha mjadala na kuuliza maswali

Anasema washiriki wenza ni marafiki zake wa siku nyingi, Hivyo kila mtu aje na data zake za kisayansi Halafu tuone mapambano wa mjadala

Gwajima anasema kuna kitu hakipo sawa kwenye hii dunia kwa sasa, Watu wachache ndio wanaendesha hii dunia watakavyo wao

Askofu Gwajima anashauri serikali huu ni wakati wa kuwekeza kwenye intelligensia sana

Anasisitiza tusomeshe watu na kuwekeza zaidi kwenye Medical intelligence na Economic intelligence pamoja na Diplomatic intelligence ili tusonge mbele kama Taifa
 
Siku ya jumanne week ijayo Askofu Gwajima ameweka wazi kuwa atafanya mjadala mpana na marafiki zake Mkurugenzi wa chanjo ya Pfizer pamoja na mgunduzi wa MRna kuhusu chanjo ya corona

Mahojiano yatakuwa live kupitia zoom meeting, Link ataiweka siku ya jumanne kwenye Instagram page yake

Anaomba watu washiriki mjadala huo, Mjadala utaongozwa na Askofu Gwajima mwenyewe,

Askofu Gwajima anaomba washiriki zaidi ili kuboresha mjadala na kuuliza maswali

Anasema washiriki wenza ni marafiki zake wa siku nyingi, Hivyo kila mtu aje na data zake za kisayansi Halafu tuone mapambano wa mjadala

Gwajima anasema kuna kitu hakipo sawa kwenye hii dunia kwa sasa, Watu wachache ndio wanaendesha hii dunia watakavyo wao

Huyo mpuuuzi hana accesss ya kukutana na watu wenye akili labda wapiga kura wake wa Kawe.
 
Gwajima sio mwanasayansi, atapata wapi uhalali wa kupinga chanjo ya wengine kama yeye hana ya kwake? tafiti hupingwa na tafiti, sio kelele za kanisani, au ana maabara kanisani kwake? aliposema within 5 years watu waliochanja watapata madhara alitumia kigezo gani?

Naona Gwajima anaendelea kutafuta njia za kuchezea akili za wajinga tu, kila jumapili aimbwe yeye mitandaoni, lakini kiuhalisia Gwajima anapotezea watu muda kwa hizi ngonjera zake, alisema Corona haitakuja Tanzania ikaja, leo ametafuta kiki nyingine nothing else.
 
Siku ya jumanne week ijayo Askofu Gwajima ameweka wazi kuwa atafanya mjadala mpana na marafiki zake Mkurugenzi wa chanjo ya Pfizer pamoja na mgunduzi wa MRna kuhusu chanjo ya corona

Mahojiano yatakuwa live kupitia zoom meeting, Link ataiweka siku ya jumanne kwenye Instagram page yake

Anaomba watu washiriki mjadala huo, Mjadala utaongozwa na Askofu Gwajima mwenyewe,

Askofu Gwajima anaomba washiriki zaidi ili kuboresha mjadala na kuuliza maswali

Anasema washiriki wenza ni marafiki zake wa siku nyingi, Hivyo kila mtu aje na data zake za kisayansi Halafu tuone mapambano wa mjadala

Gwajima anasema kuna kitu hakipo sawa kwenye hii dunia kwa sasa, Watu wachache ndio wanaendesha hii dunia watakavyo wao

Askofu Gwajima anashauri serikali huu ni wakati wa kuwekeza kwenye intelligensia sana

Anasisitiza tusomeshe watu na kuwekeza zaidi kwenye Medical intelligence na Economic intelligence ili tusonge mbele kama Taifa
Mleta Uzi,
Ndiyo maana watanzania tunafananishwa na vitu.

Ni mtu mjinga tu anaweza kumsikiliza Gwajima,yaani watanye mahojiano na mgunduzi na mtu ambaye hana taaluma ya magonjwa!

Duuuuh!yaani mgunduzi wa chanjo afanye mahojiano na mtu ambaye hajui hata sindano inachomwaje!
 
Huyo mpuuuzi hana accesss ya kukutana na watu wenye akili labda wapiga kura wake wa Kawe.
Nyie watu ipo siku ambayo mtatamani siku zirudishwe nyuma lakini haitawezekana. Gwajima mnaweza kumuona mpuuzi leo hii lakini miaka kadhaaa mbele itakuwa majuto Ni mjukuu. Mwaka 2017 Kuna kitu niliandika humu Jf nikaambiwa umaskini unanisumbu lakini Jambo lile limetokea 2021.
 
Nyie watu ipo siku ambayo mtatamani siku zirudishwe nyuma lakini haitawezekana. Gwajima mnaweza kumuona mpuuzi leo hii lakini miaka kadhaaa mbele itakuwa majuto Ni mjukuu. Mwaka 2017 Kuna kitu niliandika humu Jf nikaambiwa umaskini unanisumbu lakini Jambo lile limetokea 2021.
 
Back
Top Bottom