Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 4,393
- 14,500
Askofu Josephat Gwajima wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, akizungumza leo Julai 16, 2025 jijini Dar es Salaam na waandishi wa habari, amesema, "Nataka nisisitize kwamba mimi bado ni Mwanachama wa Chama cha Mapinduzi na nitaendelea kuwepo"
"Mara nyingi Watu wasiopenda mema, ukizungumza tu jambo lolote la kujaribu kusahihisha au kuweka sawa wanasema anataka kuhama CCM, Mimi sihami CCM nipo sana, tunabanana humu humu ndani mpaka paeleweke, pakae vizuri"
Soma pia PreGE2025 - Askofu Gwajima: Utekaji si utamaduni wetu na halitakiwi kuchekewa!
"Mara nyingi Watu wasiopenda mema, ukizungumza tu jambo lolote la kujaribu kusahihisha au kuweka sawa wanasema anataka kuhama CCM, Mimi sihami CCM nipo sana, tunabanana humu humu ndani mpaka paeleweke, pakae vizuri"
Soma pia PreGE2025 - Askofu Gwajima: Utekaji si utamaduni wetu na halitakiwi kuchekewa!