Nimemsikiliza leo , anatapatapa tu hata hana mtiririko. Unaweza dhani amechanganyikiwa .
Amekataza watu kupinga chanjo ya korona.
Lakini ana watu wake anaowashauri wasichanje. Leo haongei anatajataja tu.
Kama nilivyosema hapa asubui,,, hajatoa fact hata moja, na sababu ni kuwa anajaribu kuukumbatia uongo ambao umeshajulikana ni uongo.
Sent from my SM-A207F using
JamiiForums mobile app