Askofu Gwajima alikuwa wapi? Hao watu anaosema ameaacha kama wafungwa wapo wapi?

Askofu Gwajima alikuwa wapi? Hao watu anaosema ameaacha kama wafungwa wapo wapi?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
7,170
Reaction score
8,622
Anasikika juzi kwenye ibada ya mwaka mpya akisema kuwa kuna watu ameaacha mahala wamewekwa kizuizini

Amesema atataja aseme mapema ili tujue kama watu bado wapo hai ambao tunadhania walishauwwawa.

Please Askofu sema ukweli ulikuwa wapi?
 
Anasikika juzi kwenye ibada ya mwaka mpya akisema kuwa kuna watu ameaacha mahala wamewekwa kizuizini

Amesema atataja aseme mapema ili tujue kama watu bado wapo hai ambao tunadhania walishauwwawa.

Please Askofu sema ukweli ulikuwa wapi?
Ila sometimes Gwajiboy msanii sana unakumbuka kipindi cha Magu alijifanya mgonjwa akalazwa TMJ hospital?
Watu wake wa karibu wakamuandalia gari begi lake la nguo lililokuwa na dollar na bastola ili atoroke? Akadakwa anapanda gari nadhani akiwa kavaa hijab😂 Sijui ile kesi alimalizana vipi na Magu
 
Ila sometimes Gwajiboy msanii sana unakumbuka kipindi cha Magu alijifanya mgonjwa akalazwa TMJ hospital?
Watu wake wa karibu wakamuandalia gari begi lake la nguo lililokuwa na dollar na bastola ili atoroke? Akadakwa anapanda gari nadhani akiwa kavaa hijab😂 Sijui ile kesi alimalizana vipi na Magu
Haaaaah 😀
 
Ila sometimes Gwajiboy msanii sana unakumbuka kipindi cha Magu alijifanya mgonjwa akalazwa TMJ hospital?
Watu wake wa karibu wakamuandalia gari begi lake la nguo lililokuwa na dollar na bastola ili atoroke? Akadakwa anapanda gari nadhani akiwa kavaa hijab😂 Sijui ile kesi alimalizana vipi na Magu
Kosa la Gwaji ilikuwa nini?
 
Back
Top Bottom