Askofu Gwajima akitaka aheshimike...

Askofu Gwajima akitaka aheshimike...

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
17,276
Reaction score
23,568
Sio anunue ndege ya gharama kubwa tena iliyotumika, kimeo ambacho matengenezo yake yatazidi kuwatia waumini mzigo mkubwa zaidi wa sadaka na michango.

Askofu awasaidie maskini, ajenge shule, hospitali, nyumba za kulea yatima na wasiojiweza. Anayo chopa tayari, sasa ndege, tena jet itakayokula gharama kubwa mno!

Siamini kamwe kama mtu wa namna hii MOYO wake upo kwa waumini wake MASKINI!!! Siamini kamwe kama mtu wa namna hii ana HURUMA na wasiojiweza! Siamini kamwe kwamba Askofu anatimiza aliyoagiza YESU KRISTO, kwamba; Dini ya kweli ni hii.... Yakobo 1:27!
 
Sio anunue ndege ya gharama kubwa tena iliyotumika, kimeo ambacho matengenezo yake yatazidi kuwatia waumini mzigo mkubwa zaidi wa sadaka na michango.

Askofu awasaidie maskini, ajenge shule, hospitali, nyumba za kulea yatima na wasiojiweza. Anayo chopa tayari, sasa ndege, tena jet itakayokula gharama kubwa mno!

Siamini kamwe kama mtu wa namna hii MOYO wake upo kwa waumini wake MASKINI!!! Siamini kamwe kama mtu wa namna hii ana HURUMA na wasiojiweza! Siamini kamwe kwamba Askofu anatimiza aliyoagiza YESU KRISTO, kwamba; Dini ya kweli ni hii.... Yakobo 1:27!
Ushawahi kuona makanisa ya kilokole yanatoa MISAADA KWA MASIKINI NA WASIOJIWEZA!
 
Sio anunue ndege ya gharama kubwa tena iliyotumika, kimeo ambacho matengenezo yake yatazidi kuwatia waumini mzigo mkubwa zaidi wa sadaka na michango.

Askofu awasaidie maskini, ajenge shule, hospitali, nyumba za kulea yatima na wasiojiweza. Anayo chopa tayari, sasa ndege, tena jet itakayokula gharama kubwa mno!

Siamini kamwe kama mtu wa namna hii MOYO wake upo kwa waumini wake MASKINI!!! Siamini kamwe kama mtu wa namna hii ana HURUMA na wasiojiweza! Siamini kamwe kwamba Askofu anatimiza aliyoagiza YESU KRISTO, kwamba; Dini ya kweli ni hii.... Yakobo 1:27!
Kwa hiyo unataka askofu ndo aanze kujenga shule na hospitali...hiyo kazi ni ya serikali sababu ndo inakusanya kodi zetu...kodi zetu hazitakiwi kutumiwa na sizonje kama mali yake binafsi na familia yake
 
una udhubutu gani kuita kimeo ? unajua gharama yake ? hata kama kimeo inakuhusu nini ? unampangia dume mwenzio matumizi ya hela zake ? mijitu mingine bwana, inawanga mchana kweupe ! pambana na hali yako shwain

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo unataka askofu ndo aanze kujenga shule na hospitali...hiyo kazi ni ya serikali sababu ndo inakusanya kodi zetu...kodi zetu hazitakiwi kutumiwa na sizonje kama mali yake binafsi na familia yake
Hapo ndipo watu wengi hukosea kufikiri kujenga shule au hospitali ni kazi ya serikali. Hata kujenga barabara sio kazi ya serikali pekee nchi za watu wengine watu binafsi hujenga barabara, viwanja vya ndege, vyuo vikuu nk. Una ushirika na Gwajima nini?
 
Fanya kazi mdogo wangu, acha kuonea wivu hela za mume wa mwenzio. Tafuta mume uolewe uache wivu wa ajabu ajabu kwa maendeleo ya mume wa mwanamke mwenzio.
Wewe majibu yako yanaonesha hufikiri sana na angalia maisha yako utakuta wewe:
  • ni mtu asiyejali sana matokeo ya yale ufanyayo
  • ni mtu wa kuangalia matokeo bila kujali njia iliyotumika
  • ni mtu wa kuridhika na vitu vidogo vidogo na malengo ya leo tu
  • unapenda kuwa katika mob ilimradi siku imepita
  • huna moyo wa kujali wengine na wakati mwingine hufurahia mateso ya wengine hata rafiki zako
 
Back
Top Bottom