Askofu Bagonza: Kuna kitu hakiko sawa

Nakubaliana na wewe kuwa Serikali inawajibu wa kulinda maisha ya raia wake dhidi ya adui yoyote yule, hata maradhi (Ibara ya 14 ya Katiba). Hata hivyo, hili halimuondolei raia wajibu wa kujilinda dhidi ya adui yoyote - kwa muktadha huu - maradhi.
 
Hili nalo neno, 'Tanzania si makao makuu ya Mungu'
Kama Israel ambalo ni Taifa teule la Mungu Corona inatesa, seuze Tanzania nji ya Jiwe.....!!!!!
Corona is there to stay! It's now one of the silent killer disease...!
 
Reactions: BAK
 
Akili mkichwa Mkuu corona ipo sana tu na inaondoka na Watanzania wengi kila leo. Anayedai corona haipo kaikimbia Dodoma for more than a week now kwani kule inachakata tena bila huruma. Je, huko chato atajificha dhidi ya corona hadi lini? Itakuwa ni miezi miwili tena kama 2020?

Kama Israel ambalo ni Taifa teule la Mungu Corona inatesa, seuze Tanzania nji ya Jiwe.....!!!!!
Corona is there to stay! It's now one of the silent killer disease...!
 
Nakubaliana na wewe kuwa Serikali inawajibu wa kulinda maisha ya raia wake dhidi ya adui yoyote yule, hata maradhi (Ibara ya 14 ya Katiba). Hata hivyo, hili halimuondolei raia wajibu wa kujilinda dhidi ya adui yoyote - kwa muktadha huu - maradhi.
Nashukuru kulitambua hilo, ahsante...
 
hiyo mitungi ya gesi tunaileta wapi?
 
Huyu jamaa thinking capacity yake ni ndogo sana anafikiri corona inaweza kuisha kabisa! Corona tutaishi nayo kama mafua tunavyoishi nayo.
Hatuwezi kukaa na kushindwa kufanya maisha ati kisa ugonjwa.
 
Kwani chanjo kuchoma ni lazima?

Chanjo itakuwa lazima huko mbele kwenye kusafiri lakini kwa Tanzania chanjo italinda wazee wetu bila hivyo tutapoteza wengi. Rafiki yangu mmoja Mama na Baba wote walipelekwa ICU Agha khan Mama kaweza kotoka lakini Baba hali mbaya sana na wanadaiwa milioni 50 mpaka sasa kwa ujumla. Agha khana wamekatazwa kusema wazi kuwa ni Corona lakini binafsi wanasema na hata kutumia dawa za majaribio za Corona. Hivyo hulazimishwi mtu lakini wasizuie wengine ambao tunaamini Mungu anatupenda kama Kenya, Uganda na Zambia
 
Hatuwezi kukaa na kushindwa kufanya maisha ati kisa ugonjwa.

Nani kasema tusifanye maisha? Anasama ukweli watu wameacha hata kunawa mikono na chanjo zikipatokana zitolewe usiri na kujidanganya sio mzuri
 
Kwahiyo itakuwa lazima kwa wenye kutaka kusafiri tu?
 
Hii ni uthibitisho wa wazi kuwa ASkofu Bagonza ni mpagani sio Mkristo

Corona na Mungu haviwezi kuwa mahali pamoja Mungu

Lipagani hili Askofu kwa hiyo hata mbinguni kwaweza kuwa na Corona?
Ukishachanganya dini na siasa matokeo yake ndio kama haya..anakufuru akidhani yupo sawa..huyu anaonekana anaitukuza corona kuliko Mungu..awaache waaminio basi.
 
Unatuchanganya..mara kakimbia corona..mara atajificha hadi lini.
 
Kwa wenye akili kubwa wanaelewa, wewe endelea kujichanganya na usiwasemee wengine. Mimi sikuwa chanzo cha wewe kuukimbia umande.
Unatuchanganya..mara kakimbia corona..mara atajificha hadi lini.
 
Askofu anafeli sana mahali pengine, afu huyu askofu ndio aje aseme Mungu alipasua bahari ya shamu NITAKATAA
 
Hii ni uthibitisho wa wazi kuwa ASkofu Bagonza ni mpagani sio Mkristo

Corona na Mungu haviwezi kuwa mahali pamoja Mungu

Lipagani hili Askofu kwa hiyo hata mbinguni kwaweza kuwa na Corona?

Kiukweli ameyumba sanaa kwa hili

Huyu Askofu ndio aje kunifundisha kwamba wakati wa Israeli damu iliyopakwa kwenye nyumba za israel hakuna aliekufa na walikua sehemu ya Misri
 
Kwa wenye akili kubwa wanaelewa, wewe endelea kujichanganya na usiwasemee wengine. Mimi sikuwa chanzo cha wewe kuukimbia umande.
Jifunze kufikiri kabla ya kuandika..punguza mihemko ya kisiasa.
 
Na walikuwa wanafanya kampeni za mitandaoni watu wajae kwenye mikutano..wabongo bwana.
 
Hakuna Corona Tanzania nyie. Big up Mh. JPM kwa kusimama imara na kutoyumbishwa. Msitutisheeeeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…