PreGE2025 Askofu Bagonza: Kama wanajua alipo na hawasemi ni kosa

PreGE2025 Askofu Bagonza: Kama wanajua alipo na hawasemi ni kosa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Just Pray

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
2,142
Reaction score
4,779
Baada ya taarifa kwa umma iliyotolewa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kulitaka Jeshi la Magereza, mamlaka husika na vyombo vya dola kutoa taarifa wazi na za haraka kwa umma kuhusu mahali alipopelekwa Tundu Lissu baada ya viongozi wa chama hicho baada ya kuelezwa kuwa hayupo katika gereza hilo, na kutokupewa maelezo yoyote rasmi juu ya alipopelekwa, Askofu Kalikawe Lwakalinda Bagonza (PhD) ametoa maoni yake na kusema kama wanajua alipo na hawasemi ni kosa.

"Kama wanajua alipo na hawasemi ni KOSA. Kama hawajui alipo ni KOSA. Kuna mtu anahujumiwa"
Askofu Kalikawe Lwakalinda Bagonza (PhD)

Pia soma: DOKEZO Lissu aondolewa Keko. Anapelekwa wapi?
Screenshot_20250418_214037.jpg
 
Watu wa Daslamu mna siri nyie
Haya tufungulieni hiyo code na sisi wa Kibodyani tuelewe mwe!
 
Back
Top Bottom