BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
ATCL Imekosa Aibu basi Iwe na Huruma
Ndani ya miezi miwili nikisafiri na ndege za ATCL nimeona haya:
1. Nilishindwa kuhudhuria mazishi ya ndugu na kukaa airport siku nzima
2. Nilishinda uwanjani Dar na kuondoka usiku wa manane siku ya pili.
3. Nilikosa connection ya ndege Dar baada ya ndege kutoka Mwanza kuchelewa kufika
4.Leo nimekesha uwanjani Mwanza (tangu saa Moja jioni Hadi saa 9 alfajiri).
Nashauri kirefu cha ATC kiwe:
"Any Time Cancellation" (ATC).
Tunatia aibu mbele ya wageni.
Pia soma: ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa!
Ndani ya miezi miwili nikisafiri na ndege za ATCL nimeona haya:
1. Nilishindwa kuhudhuria mazishi ya ndugu na kukaa airport siku nzima
2. Nilishinda uwanjani Dar na kuondoka usiku wa manane siku ya pili.
3. Nilikosa connection ya ndege Dar baada ya ndege kutoka Mwanza kuchelewa kufika
4.Leo nimekesha uwanjani Mwanza (tangu saa Moja jioni Hadi saa 9 alfajiri).
Nashauri kirefu cha ATC kiwe:
"Any Time Cancellation" (ATC).
Tunatia aibu mbele ya wageni.
Pia soma: ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa!