Askofu Bagonza: ATCL imekosa aibu, basi iwe na huruma

BAK

JF-Expert Member
Feb 11, 2007
124,789
288,015
ATCL Imekosa Aibu basi Iwe na Huruma

Ndani ya miezi miwili nikisafiri na ndege za ATCL nimeona haya:

1. Nilishindwa kuhudhuria mazishi ya ndugu na kukaa airport siku nzima

2. Nilishinda uwanjani Dar na kuondoka usiku wa manane siku ya pili.

3. Nilikosa connection ya ndege Dar baada ya ndege kutoka Mwanza kuchelewa kufika

4.Leo nimekesha uwanjani Mwanza (tangu saa Moja jioni Hadi saa 9 alfajiri).

Nashauri kirefu cha ATC kiwe:
"Any Time Cancellation" (ATC).

Tunatia aibu mbele ya wageni.

Pia soma: ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa!
54F54C2E-7966-4F50-98F3-B9C40B769CF2.jpeg
 
Shirika linaendeshwa kienyeji, no professionalism at all.

Sababu kuu ya cancellations zisizo na kichwa wala miguu, ni kwamba, fleet zilizopo zipo busy na kuwazungusha watawala badala ya kuwahudumia wananchi.

Rais, Makamo wake, Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu na Makamo wa Rais Zanzibar watumie ndege za serikali, ndege za ATCL za abiria zitumike kubebea abiria.

Viongozi Kama wanapenda sana ndege, nawashauri wafuge kuku, bata, kanga na hata bundi iwapo wataweza
 
Shirika linaendeshwa kienyeji, no professionalism at all.
Sababu kuu ya cancellations zisizo na kichwa wala miguu, ni kwamba, fleet zilizopo zipo busy na kuwazungusha watawala badala ya kuwahudumia wananchi.

Rais, Makamo wake, Rais wa Zanzibar, Waziri Mkuu na Makamo wa Rais Zanzibar watumie ndege za serikali, ndege za ATCL za abiria zitumike kubebea abiria.

Viongozi Kama wanapenda sana ndege, nawashauri wafuge kuku, bata, kanga na hata bundi iwapo wataweza
Wamejitetea kindezi
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.

Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.

Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.

Source: Star tv habari!
 
Wamejitetea kindezi
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.

Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.

Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.

Source: Star tv habari!
Je tulipokuwa tunanunua mijindege cash kwa mkupuo, hatukuwaza kuwa zitaenda kwa mkupuo kwenye matengenezo makubwa?
 
Wamejitetea kindezi
Msemaji wa ATCL ndugu Josephat Mwingira amesema pamekuwepo na mabadiliko ya mara kwa mara ya ratiba za ndege zao takribani wiki mbili sasa kwa sababu ndege nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa.

Mwingira amesema nyingi ya ndege zao zilinunuliwa kwa wakati mmoja ndio maana hata matengenezo yake hufanyika pamoja na kamwe ATCL haiwezi kurusha ndege yenye hitilafu.

Mwingira amewataka mawakala wa kuuza tiketi kuweka namba zao za simu na kuchukua namba za wateja ili wawe wanapewa taarifa ya mapema pindi yanapotokea matatizo.

Source: Star tv habari!
Yaani ni vituko. Hizi ndege si ni mpya? Sasa hayo matengenezo makubwa kipindi hiki kifupi tangu kununuliwa? Soon hili shirika litakufa. Sitashangaa. Wanaliendesha kwa big loss. eventually serikali itashindwa kuwa-bail out. Labda wazidishe ongezeko zaidi kwenye tozo za miamala ili kulibeba shirika hili pia. Otherwise, I see the death of ATCL very soon
 
Je tulipokuwa tunanunua mijindege cash kwa mkupuo, hatukuwaza kuwa zitaenda kwa mkupuo kwenye matengenezo makubwa?
Hilo la kwanza lakini pia huo utetezi unazusha maswali mengi zaidi.. Hivi zinaenda normal service au 'matengenezo makubwa'?
Je zile tuhuma kwamba tuliuziwa mitumba ni za kweli?
Service za bombadia mbili zilitugharimu zaidi ya shilingi bilion 12 vipi haya madege makubwa na matengenezo makubwa?

Mungu anakuona huko uliko kayafa!
 
Yaani ni vituko. Hizi ndege si ni mpya? Sasa hayo matengenezo makubwa kipindi hiki kifupi tangu kununuliwa? Soon hili shirika litakufa. Sitashangaa. Wanaliendesha kwa big loss. eventually serikali itashindwa kuwa bail out. Labda wazidishe ongezeko zaidi kwenye tozo za miamala ili kulibeba shirika hili pia. Otherwise, I see the death of ATCL very soon
Aliyetusababishia madhila yote haya Mungu anamuona
 
ATCL Imekosa Aibu basi Iwe na Huruma

Ndani ya miezi miwili nikisafiri na ndege za ATCL nimeona haya:

1. Nilishindwa kuhudhuria mazishi ya ndugu na kukaa airport siku nzima

2. Nilishinda uwanjani Dar na kuondoka usiku wa manane siku ya pili.

3. Nilikosa connection ya ndege Dar baada ya ndege kutoka Mwanza kuchelewa kufika

4.Leo nimekesha uwanjani Mwanza (tangu saa Moja jioni Hadi saa 9 alfajiri).

Nashauri kirefu cha ATC kiwe:
"Any Time Cancellation" (ATC).

Tunatia aibu mbele ya wageni.

Pia soma: ATCL yatoa ufafanuzi kuvurugika kwa ratiba za ndege zake, yasema nyingi zilikuwa kwenye matengenezo makubwa!
View attachment 1899014
Hili shilika ni kama zombie,a walking dead,CEO wake ni kilaza,sijuhi kwa nini serikali Bado inanunua Ndege kwa mapesa Mengi!inawezaka likawa shinikizo la wazungu kutufanya soko la Ndege zao,Ili viwanda vyao viendelee.
 
Hili shilika ni kama zombie,a walking dead,CEO wake ni kilaza,sijuhi kwa nini serikali Bado inanunua Ndege kwa mapesa Mengi!inawezaka likawa shinikizo la wazungu kutufanya soko la Ndege zao,Ili viwanda vyao viendelee.
Yaani mi sielewi kwanini SSH hataki kutimua huyu mkurugezi?, Mbona anaua ATCL wanamwangalia yaani hawana habari naye
 
Back
Top Bottom