Naona makampuni yote mawili hayana trip za uhakika kama zamani hasa Kwa Dar-Mwanza ambapo route zimepunguza kutoka 5 kwa kila ndege na kubakia tatu tena nyingi zikiwa ni za usiku Tu.Wakati huo huo wameondoa trip za Tabora, Mpanda etc.
Hii inaonyesha zimefulia.Je Shida nini wakati Atcl inandenge zaidi ya 11 mpya kabisa?
Tutarajia shirika kupata hasara zaidi
Hii inaonyesha zimefulia.Je Shida nini wakati Atcl inandenge zaidi ya 11 mpya kabisa?
Tutarajia shirika kupata hasara zaidi