asking for help

ndupa

JF-Expert Member
Jan 25, 2008
4,403
141
habari zenu wadau:nilikuwa naomba msaada kwa mtu anyejua ni nini tofauti kati ya kusoma sheria ya UDSM/UDOM first bachelor kwa miaka mnne na kusoma sheria ya MZUMBE first bachelor kwa miaka mitatu?ahsanteni
 
Mimi nimemaliza degree ya sheria Mzumbe hvyo natoa maelezo yangu kwa mifano ya Mzumbe University na UDSM. Wale wa miaka mitatu wanatumia SEMESTER SYSTEM kama Mzumbe na Wale wa miaka minne wanatumia ANNUAL SYSTEM. Katika ANNUAL SYSTEM mwanafunzi huchukua masomo tisa ambayo anafanyia mtihani mwsho wa mwaka. Wakati SEMESTER SYSTEM mwanafunz huchukua masomo 6 na hufanyia mtihani kila mwsho wa semester. Hvyo kwa mwanafunz wa miaka minne anahtaj miaka 4 ili kumaliza course 36(9 x 4) wakati wa miaka mitatu atafanya course 36 kwa miaka mitatu (6x2x3)ambayo ni kozi 36. NADHANI UMENIELEWA
 
Mimi nimemaliza degree ya sheria Mzumbe hvyo atoa maelezo yangu kwa mifano ya Mzumbe University na UDSM. Wale wa miaka mitatu wanatumia SEMESTER SYSTEM kama Mzumbe na Wale wa miaka minne wanatumia ANNUAL SYSTEM. Katika ANNUAL SYSTEM mwanafunzi huchukua masomo tisa ambayo anafanyia mtihani mwsho wa mwaka. Wakati SEMESTER SYSTEM mwanafunz huchukua masomo 6 na hufanyia mtihani kila mwsho wa semester. Hvyo kwa mwanafunz wa miaka minne anahtaj miaka 4 ili kumaliza course 36(9 x 4) wakati wa miaka mitatu atafanya course 36 kwa miaka mitatu (6x2x3)ambayo ni kozi 36. NADHANI UMENIELEWA

ok poa kaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom