Askari wenye vyeti feki

Unadhani Majambazi ni Simba kwa hiyo wanawinda kwa ukoo mmoja? Askari mmoja tu anaweza fundisha bunduki watu elfu na ikawa hatari sana.
Kumbuka yule wa Magereza aliyeongoza kuvamia Sitakishari alivyowadungua
Kweli mkuu tena serikal iwe makini na hawa waliopo mtaani sio wastaafu tuu hata j.k.t huko mitaani wamejaa na hawana kazi huwezi jua malengo yao maana kila mtu na moyo wake kwa mfano chukulia wale waliokuwa wanaandamana pale jangwani kuomba ajira saa hibi wako wapi
 
Hicho ndo kinachosumbua nigeria na burundi
 
Wastaafu wengi wao ni wazee wasio kuwa na nguvu na wanahitaji kupumzisha miili yao.
Panga la vyeti feki linakata hadi vijana ambao hata kuanza maisha baada ya kazi itakua ngumu.
 
RIP KISWAHILI! KWA UANDISHI HUU!!
 
unafahamu juu ya neno "solidarity"?
 
Hebu muwaache, they have their own education system standard seven anamfundisha graduate halafu akishafuzu graduate anakuwa incharge na walimu wake wanakuwa masubordinates
 
Mwalimu atafundisha private, Daktari ataenda private, Muhasibu nk sasa Askari kujiajiri kwake ni kutumia silaha
 

Nimesoma na kurudia tena bado sijapata sababu ya askari kuanza "KUHARA" baada ya kufukuzwa kwa kuwa na vyeti feki.
"UHARIFU" huu unaozungumzwa ni wa maradhi ama wa kihoro cha kufutwa kazi?
 
Askari mmoja wa magereza alitikisa nchi kwa kusababisha vifo vya askari polisi na kuondoka na ghala la silaha pale sitaki shari. Chezea ugali unaokula si askari.taaluma ya mapigano ya vita hata aliyedarasa la saba anafundishika vizuri na akipanga mbinu ya kuvamia uwezekano wa kufanikiwa ni mkubwa kuliko kushindwa hivyo mwenye cheti feki ambaye ni askari anaweza kumudu kazi yake sababu amepewa elimu tofauti nyingine kabisa katika vyuo vya kijeshi lakini mwenye cheti feki daktari hawezi mudu kazi yake.
 
Utandu huna uhakika na ulichoandika au huelewi kabisa ni kwa nini uhakiki usipite jeshini.Askari kurudisha kwao sio lazima kwani sio mhalifu anaweza kuishi popote.Wakiamua kuunda kundi la uhalifu wanaweza kama wafanyavyo raia wengine.Hawa wenzetu wamepitia mafunzo ndio maana tunakuwa na wasiwasi kama uhakiki utawapitia.
 
Mwalimu atafundisha private, Daktari ataenda private, Muhasibu nk sasa Askari kujiajiri kwake ni kutumia silaha
jaribu kutumia kiswahili bila kuchanganya na kiingereza, imebidi nirudie kusoma ndio nikaelewa. ujue private ni cheo katika jeshi.
 
Sometimes mengne tuyaache tu...sio kila mahali tutake haki au usawa...

Wakitolewa wale jamaa hapatakalika mitaani...na ugumu huu wa maisha tusidhani wataenda kuwa dereva boda boda hv ....ukweli mchungu [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…