Maafande wa doria wakipiga picha na baadhi ya viongozi wa CCM wa kata ya Mji Mpya morogoro.
![]()
Hii kitu inaruhusiwa jamani??
Tazama picha hii kisha katazame picha ya Lema na yule "Afande" kisha ndo ulete swali lako hapa. Kwa mwenye uwezo wa kutafakali na mwenye uwezo wa kufikili hata kwa 0.01% hawezi kulingania picha hii na ile picha ya "Afande wa JWTZ" na Lema!!!. Hakuna wajinga humu ambao kama wewe watakaoshindwa kutofautisha picha hii na ile ya Lema na "Afande wa JWTZ". Kakae chini na tafuta kitu kingine hapa UMETOKOTA SANA
gesh ra porish kwa kushirikiana na vyanzo vyake vya kuoa tarifwa,ritafatiria na kuwatia hatiani hao vijana wanazaniwa kuwa ni ashikari wa geshi ra polish.....lakin pia tarifwa zitategemea na mfumo wa kiintelijensia utakao tupika kukusanya data....na inawezeekana hao vijana pengine sio vijana wetu...asnteni ndugu waandishi.Maafande wa doria wakipiga picha na baadhi ya viongozi wa CCM wa kata ya Mji Mpya morogoro.
![]()
Hii kitu inaruhusiwa jamani??
Tazama picha hii kisha katazame picha ya Lema na yule "Afande" kisha ndo ulete swali lako hapa. Kwa mwenye uwezo wa kutafakali na mwenye uwezo wa kufikili hata kwa 0.01% hawezi kulingania picha hii na ile picha ya "Afande wa JWTZ" na Lema!!!.
Hakuna wajinga humu ambao kama wewe watakaoshindwa kutofautisha picha hii na ile ya Lema na "Afande wa JWTZ".
Kakae chini na tafuta kitu kingine hapa UMETOKOTA SANA
Hawa mbona kama wamefanana.....Wanaweza kuwa ndugu wamekutana wanasalimiana...binafsi sioni kama hii picha ina tatizo haina ishara yeyote ya kisiasa......Maafande wa doria wakipiga picha na baadhi ya viongozi wa CCM wa kata ya Mji Mpya morogoro.
![]()
Hii kitu inaruhusiwa jamani??
Tofauti na ile ya kwenu(chadema) ambayo lema alikumbatiana na askari fake wa JWTZ kwa mkao wa kujiandaa kabisa kwa kupiga picha! Hapo wanasalimiana kuwapa habari za kiintelejensia....kuwa kuna mtu kapita kavaa mavazi ya mgambo wakati wanajua hakuwahi kimbia mgambo!
Maafande wa doria wakipiga picha na baadhi ya viongozi wa CCM wa kata ya Mji Mpya morogoro.
![]()
Hii kitu inaruhusiwa jamani??
hao wana ccm hapo wanawakabidhi askari ile CD ya Nchema ili wakaifanyie kazi.imekula kwao wanaoonekana kwenye CD.Wakamatwe haraka!
Maafande wa doria wakipiga picha na baadhi ya viongozi wa CCM wa kata ya Mji Mpya morogoro.
Hii kitu inaruhusiwa jamani??
kwa cdm ndo msala hila kwa ccm amna noma