Askari wapiga picha na viongozi wa CCM

Askari wapiga picha na viongozi wa CCM

Maafande wa doria wakipiga picha na baadhi ya viongozi wa CCM wa kata ya Mji Mpya morogoro.
_MG_3233.JPG


Hii kitu inaruhusiwa jamani??
Mkuu kusalimiana na askari sio kosa, pia kuna tofauti kati ya JW/ Policcm. Police wanaweza kuwepo katika mikutano ya siasa for security reasons, askari wa JW, No
 
tutafanya uchunguzi!kwanza haya magwanda sio ya askari wetu.
 
wanawasaka wafuasi wa CDM waliokuwa ktk mkutano wa hadhara! hiyo picha inaruhusiwa kwa CCM lakini sio kwa CDM!
 
hawa wataKuwa wanafahamiana tu... au magamba?
 
Ama kweli leo nimeamini kuwa common sense sio common kwa kila mtu. nakuonaga wa maaaaana kumbe mapovu tu. huwezi hata kutofautisha matukio.
Maafande wa doria wakipiga picha na baadhi ya viongozi wa CCM wa kata ya Mji Mpya morogoro.
_MG_3233.JPG


Hii kitu inaruhusiwa jamani??
 
Du Mwizi wa simu Kumbe yupo mpaka Huku kweli wananchi wa kibaha hawa kufanya kosa kukupiga chini

MkuuPrecise Pangalion, huyu mpuuzi hakupigwa chini na wananchi wa Kibaha bali kwa mahaba yake kwa ccm akidhani anaidhalilisha CHADEMA iliamua kuzidalalia kura zake kwa mbunge wa ccm aliyekuwa amepigwa chini na wananchi wa Kibaha
 
Wamepiga na wezi so ni ruksa polisi kupiga picha na mwizi kwa ajili ya vyombo vya habari
 
Back
Top Bottom