Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,236
Ndio maana tunasema heshimu kila mtu hata kama humjui..What if huyo askari angekuwa anamtukana Kiongozi wake?? au baba yake?...Unaweza mtukana mtu au kumdharau na kesho ndo anakuwa msaada wako mkubwa na unabaki kuaibika...