KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Ni habari niliyoipata toka kwa mdau wangu anayepatikana huko kuwa askari waliokuwa doria wamemkamata Afisa usalama wa taifammoja, OCD akiwa na vijana wake saba ila wanne walifanikiwa kutoroka wakiwa wamekwenda kuchimba madini ndani ya hifadhi kinyume na sheria.