KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,886
- 40,068
R.I.P Mla rushwa....ila nashukuru kifo chako kitatupunguzia kero barabarani......
Hivi wewe bwana mbona matukio mengi unakuwepo? Lile la juzi mkuu wa Wilaya Arumeru alipotangaza walimu wakatwe mshahara kuchangia maabara nawe ulikuepo.
....usimsahau na P Diddy pia...hawa nahisi watakuwa askari wa Tigo.
maana kila matukio wapo
Halafu jamaa ana mwandiko mbaya sana.
....usimsahau na P Diddy pia...hawa nahisi watakuwa askari wa Tigo.
maana kila matukio wapo
....usimsahau na P Diddy pia...hawa nahisi watakuwa askari wa Tigo.
maana kila matukio wapo
Hivi wewe bwana mbona matukio mengi unakuwepo? Lile la juzi mkuu wa Wilaya Arumeru alipotangaza walimu wakatwe mshahara kuchangia maabara nawe ulikuepo.
Apumzike kwa amani na poleni sana wafiwa!RIP trafiki.
Hakika kila nafsi itaonja mauti!Inna lillah wainna ilaih raajiuun!
Kuna Police aliyekuonea Huruma? Adui Muombee NjaaNaona ubinadamu umekutoka na hata huruma na masikitiko hauna. Vema Mungu sio athumani.
Tuna kuombea afya njema Traffic wetu.