Askari usalama barabarani Mbagala agongwa na daladala

Askari usalama barabarani Mbagala agongwa na daladala

Polisi mmoja wa usalama barabarani aliejulikana kwa jina moja la riziki mwenye namba wp 2806 wa kituo cha kilwaroad temeke daresalam ,amegogwa na gari la abiria dcm leo asubuhi eneo la mbagara rangi tatu akiwa katika majukumu yake, ImageUploadedByJamiiForums1410863048.162119.jpg na kupoteza fahamu kukimbizwa hospital ya temeke baadae muhimbili jijini dar,kwa mujibu wa afisa wapolisi amethibitisha hali ya polisi uyo inaendelea vema bahada ya jitihada za madaktari kwani alizimia kwa masaa 2 ,dereva wa gari ilo alikamatwa eneo la kizuiyani alipokuwa anajaribu kutoroka,
 
apone haraka.
Ila hawa majamaa wana roho mbaya sana au njaa wanaziendekeza.
 
Polisi mmoja wa usalama barabarani aliejulikana kwa jina moja la riziki mwenye namba wp 2806 wa kituo cha kilwaroad temeke daresalam ,amegogwa na gari la abiria dcm leo asubuhi eneo la mbagara rangi tatu akiwa katika majukumu yake,View attachment 185620 na kupoteza fahamu kukimbizwa hospital ya temeke baadae muhimbili jijini dar,kwa mujibu wa afisa wapolisi amethibitisha hali ya polisi uyo inaendelea vema bahada ya jitihada za madaktari kwani alizimia kwa masaa 2 ,dereva wa gari ilo alikamatwa eneo la kizuiyani alipokuwa anajaribu kutoroka,

Mkuu hatakama hujenda shule unataki ujue nikosa kuweka picha ya maiti in public
 
Tusipende kuhukum mmoja kwa wote.
Kama ingekuwa kosa la mmoja basi hata Yesu basi hawezi kumuombea mtu na kuwa mwokozi wake kwa makosa ya wote wakati na yeye ni binaadam kama sie.
Hakuna msafi humu,wangapi wamezini humu na hakuna anaewahukumu.
Sio sifa,wala ujanja ku post ili uonekane upo against na wenzio kwa suala la kifo.
We unajuaje kama pumzi yako ukipandisha juu itashuka chini?
 
Sina uhakika na muda raia waliotumia 'kumshangaa' majeruhi, lakini hatua za awali si ingekuwa kumuwahisha hospitali kuliko kumsimamia kumshangaa?
 
Matraffic me nawachukulia ni maadui. Haki kwao imetendeka. Hakuna trafic msafi wa tabia

Naona ubinadamu umekutoka na hata huruma na masikitiko hauna. Vema Mungu sio athumani.

Tuna kuombea afya njema Traffic wetu.
 
Nasikia amefariki leo Asbh

Inasikitisha sana. Jina la Bwana Libarikiwe!

Kama ni kweli. Poleni wafiwa. MUNGU AWAFARIJI NA KUWAPA NGUVU.

Tumempoteza Dada, Mama, Mfanyakazi na Msaidizi tuliyempenda.

Tunaomba isiwe ni kweli bali apone haraka na kurudi kwenye majukuma yake ya kila siku.
 
r.I.p trafik, ila huyo dreva aliyemgonga kazi anayo
 
Sina uhakika na muda raia waliotumia 'kumshangaa' majeruhi, lakini hatua za awali si ingekuwa kumuwahisha hospitali kuliko kumsimamia kumshangaa?


Ni kweli lakini wakati mwingine Polisi wetu hawatabiriki, wanaweza kuwageuzia kibao watoa msaada,
 
Askari wa usalama barabarani, aliyejulikana kwa jina la Riziki, WP 2806 Cpl Riziki, akiwa hoi baada ya kugongwa na daladala aina ya DCM wakati akiwa katika harakati za kutimiza majukumu ya kazi eneo la Mbagala Rangi Tatu, leo asubuhi.




Habari zinasema kuwa baada ya ajali hiyo, askari huyo alikimbizwa katika hospitali ya Temeke na baadaye kuhamishiwa hospitali ya Muhimbili na hali yake inaendelea vizur
 

Attachments

  • IMG-20140915-WA0017.jpg
    IMG-20140915-WA0017.jpg
    52.7 KB · Views: 377
Pole zake…..Mungu amponye mapema na aendelee na kazi yake
 
Back
Top Bottom