Askari polisi anyang'anywa bunduki smg no.14302551

Askari polisi anyang'anywa bunduki smg no.14302551

Chibolo

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
5,768
Reaction score
8,043
nimepigiwa
simu kutoka kwenye eneo la tukio la leo asubuhi kuwa majambazi
walioteka basi kwenye msitu wa kasindaga wamempokonya bunduki escot na
kutokomea nayo kusikojulikana.
 
heri Pinda usingesema vile......
 
hilo eneo ni baya sana yani hao wakiamua kila siku wanaweza kujitwalia silaha kadhaa hadi hapo ulinzi utakapoimalishwa
 
Bravo Majambazi bora mkae nazo hizo silaha ninyi kuliko polisi.
 
Hizo habari ni za kweli.Wameteka basi liitwalo RS linalofanya safari zake kati ya BK na DAR, pia wameteka basi liitwalo NBS linalofanya safari kati ya BK na ARUSHA. Wametekwa asubuhi kwenye mlima ulio pori la kuelekea Biharamulo liitwalo Burigi
 
Tatizo ni kuwa sasa hivi wananchi hawawezi kushirikiana na polisi tena, kwa sababu polisi wameambiwa wawapige wananchi. Huyu alikuwa kwenye basi kama escort, kumbe hakuna lolote kanyanganywa mpaka bunduki, what a shame
 
Tatizo ni kuwa sasa hivi wananchi hawawezi kushirikiana na polisi tena, kwa sababu polisi wameambiwa wawapige wananchi. Huyu alikuwa kwenye basi kama escort, kumbe hakuna lolote kanyanganywa mpaka bunduki, what a shame

ilikuwa hatari sana basi......angeweza kuuwawa huyu..........
 
kwanini hawakupiga marufuku magari kupita eneo hilo , hawakuwa na taarifa za kiintelijensia?
 
Back
Top Bottom